Yanga haina mchezaji mwenye thamani kununuliwa na Simba

Yanga haina mchezaji mwenye thamani kununuliwa na Simba

Wakati mwingine ukweli unauma, lkn mleta mada kasema kweli tupu.
Ukweli upi mikia wewe,simba inawamezea morrison,tshishimbi,metacha na wengine kwani hatujui,uliza mliwachukua wangapi toka yanga msimu uliopita ,
 
Ukikaa chini na kuwaza bila ushabiki Yanga haina mchezaji mwenye thamani ya kununuliwa na kucheza Simba labda Morison.


Lakini wote waliobaki hamna mwenye uwezo wa kucheza Simba hawana uwezo kabisa.

Ukiangalia uwezo wa kila mmoja hebu waza nani umweke benchi halafu mchezaji wa Yanga aingie.
Sawa tako moko.
 
Ukikaa chini na kuwaza bila ushabiki Yanga haina mchezaji mwenye thamani ya kununuliwa na kucheza Simba labda Morison.


Lakini wote waliobaki hamna mwenye uwezo wa kucheza Simba hawana uwezo kabisa.

Ukiangalia uwezo wa kila mmoja hebu waza nani umweke benchi halafu mchezaji wa Yanga aingie.
Hata Morison hana thamani ya kuchezea Simba, jaribu kuwaza atamuweka nani benchi pale msimbazi
 
Back
Top Bottom