wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 558
nawe urudi kwa wazazi wako ili wakufunze upya kujibu watuNdo umeandika nini kajifunze kwanza kuandika ndo uje tena
Tinashangaza timu ya yanga haitakiwi kushinda katika ligi hapa nchini tayari maneno yameanza wachezaji wawili kagera wamesimamishwa lakini nilimfatilia kocha wao akiwa dar kabla mechi na simba alisema wachezaji wamechoka na kweli alifungwa kufika na yanga haiwezekani yanga kushinda na ukiangalia golikipa casilas bado mzito
miili ya yanga imesha poa sasa mwendo mdundo mtasema sana yanga