Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Yanga wakati wa kumuuza Msuva 2017 Difaa El Jadida walishauriwa na meneja wa Msuva wamuuze dola 80,000 (Tsh mil 180) ili waweke kipengele cha kupata mgao akiuzwa kwingine (Benfica) ila walikataa na kulipwa dola 100,000 (Tsh mil 229) hivyo hawana mgao wowote