Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kunywa maji utulize munkari kwanza. Halafu hakuna timu duniani isiyoruhusu goli hata uwe na ukuta wa aina gani. Nyie mnaotegemea mfanye vizuri kimataifa mbona juzi tu mabeki zetu wameruhusu magoli mawili kwenye mechi ya kimashindano?Hii timu inaweza kuwa inashinda baadhi ya mechi , lakini kiukweli ina ukuta unaovuja mno ! Sielewi simba iliwakosaje yaani ?
Game yao na Polisi Tanzania ambayo wameshinda 2-1 ni kielelezo cha ubovu wa Mabeki wa Timu hii .
Kiukweli kwenye michuano ya Kimataifa timu hii itadhalilika sana .
Yetu macho .
Nyie wenye beki bora naona amruhusu kabisa magoli, Sijui wenye beki bora msimu uliopita mmeruhusu goli ngapiHii timu inaweza kuwa inashinda baadhi ya mechi , lakini kiukweli ina ukuta unaovuja mno ! Sielewi simba iliwakosaje yaani ?
Game yao na Polisi Tanzania ambayo wameshinda 2-1 ni kielelezo cha ubovu wa Mabeki wa Timu hii .
Kiukweli kwenye michuano ya Kimataifa timu hii itadhalilika sana .
Yetu macho .
Umekuwa mkweli sana mkuu , kingine wanachotakiwa kuangalia ni chance za kufunga wanazopoteza , huwa wanapoteza kizembe sana .Nafikiri Nabi mahali ambapo bado anahisi pana kutu hapampi raha ni beki 5 na 4 hapana utulivu sana panahitaji kufanyiwa kazi mapema kabla ya mechi za kimataifa
Kila mtu ashinde mechi zakeUmekuwa mkweli sana mkuu , kingine wanachotakiwa kuangalia ni chance za kufunga wanazopoteza , huwa wanapoteza kizembe sana .
sijawahi kutukana hapa jf ila mimi ndio natukanwa kama ulivyofanya weweHv ushasikia team imechukuwa kombe kwa cleansheets Kichaa wewe, kama sio basi wewe Mtoa mada ni Mkundu kama mikundu mingine..(Point 3 ndo Kila kitu, tumepata point 3 na tunasonga mbele) ikikuuma nirudishie Ila acha kushobokea Timu yetu, Tuachie kabisa Timu yetu
Upo sahihi kabisa mkuuNafikiri Nabi mahali ambapo bado anahisi pana kutu hapampi raha ni beki 5 na 4 hapana utulivu sana panahitaji kufanyiwa kazi mapema kabla ya mechi za kimataifa
Jipime..!! kama beki mbovu mlishindwa kuwafunga, wewe beki yenu ipoje sasa?Hii timu inaweza kuwa inashinda baadhi ya mechi , lakini kiukweli ina ukuta unaovuja mno ! Sielewi simba iliwakosaje yaani ?
Game yao na Polisi Tanzania ambayo wameshinda 2-1 ni kielelezo cha ubovu wa Mabeki wa Timu hii .
Kiukweli kwenye michuano ya Kimataifa timu hii itadhalilika sana .
Yetu macho .