Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
[emoji38][emoji38][emoji38]Anaitwa Bakari Mwamnyeto Magwaya[emoji23][emoji28]
Mabeki wabovu ungewafunga kuthibitisha ubovu wao, wewe unabweka tu bila mpangilio?Hii timu inaweza kuwa inashinda baadhi ya mechi , lakini kiukweli ina ukuta unaovuja mno ! Sielewi simba iliwakosaje yaani ?
Game yao na Polisi Tanzania ambayo wameshinda 2-1 ni kielelezo cha ubovu wa Mabeki wa Timu hii .
Kiukweli kwenye michuano ya Kimataifa timu hii itadhalilika sana .
Yetu macho .
Ukiambiwa uchague kimoja kati ya hizo clean sheet, na point 3 muhimu! ungechagua nini?Hii timu inaweza kuwa inashinda baadhi ya mechi , lakini kiukweli ina ukuta unaovuja mno ! Sielewi simba iliwakosaje yaani ?
Game yao na Polisi Tanzania ambayo wameshinda 2-1 ni kielelezo cha ubovu wa Mabeki wa Timu hii .
Kiukweli kwenye michuano ya Kimataifa timu hii itadhalilika sana .
Yetu macho .
Mwamnyeto ni fala Sana, anfanya Makosa Mengi Ya KizembeNafikiri Nabi mahali ambapo bado anahisi pana kutu hapampi raha ni beki 5 na 4 hapana utulivu sana panahitaji kufanyiwa kazi mapema kabla ya mechi za kimataifa
Na nyie mmetobolewa ngapi?Usiwaamshe.
Vipers katoboa 2.
Simba katoboa 1
polisi katoboa 1
Mleteee mdhunguuuUkitaka kujua yanga mbovu subiri kimataifa utaona maajabu wazee wa come back.
Mayelee aliwatoboa mbiliUsiwaamshe.
Vipers katoboa 2.
Simba katoboa 1
polisi katoboa 1
Eti wakaenda kushtaki polisi,leta mdhunguuuMabeki wabovu na hamuwezi kuifunga, nyie mmeshindwa mnawasakizia wenzenu.
Madrid na ubora wake karuhusu goal mechi ya ufunguzi licha ya kuwepo rudiger, touchmen, na vipaji lukuki.Mm ni Mwanachama Wa Yanga Wa Kadi Kabisa so Ninachokiongea Nina Kisema kisoka Zaidi.
.
3 goals vs Coast
2 goals vs Vipers
1-goal vs simba
1 goal vs polisi.
.
Kuruhusu goli 7 kwenye game 4 siyo dalili nzuri ya denfence!
.
I think Nabi atakuwa anawaza kufanya kitu na ukuta wake. Coming from down huwa siyo raha kwa kocha.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yanga katika msimu uliopita ndio timu pekee iliyoruhusu kufungwa magoli machache katika ligi kocha akiwa uyo uyo Nabi je unalitambua hilo?Mm ni Mwanachama Wa Yanga Wa Kadi Kabisa so Ninachokiongea Nina Kisema kisoka Zaidi.
.
3 goals vs Coast
2 goals vs Vipers
1-goal vs simba
1 goal vs polisi.
.
Kuruhusu goli 7 kwenye game 4 siyo dalili nzuri ya denfence!
.
I think Nabi atakuwa anawaza kufanya kitu na ukuta wake. Coming from down huwa siyo raha kwa kocha.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app