Tengeneza ya kwakoYanga imekuwa na mwendo wa kusuasua toka msimu mpya umeanza. Ilijitapa kw usjili wa mafungu mafungu. Mpaka sasa hakuna mchezaji aliyesajiliwa na kuonesha kiwango kikubwa.
Timu haina chemistry, haiwezi piga pasi mbili kwa usahihi.
Kocha Zahera ameshindwa kutengeneza muunganiko wa timu.
Namtabiria Mwinyi Zahera kufukuzwa mapema sana.
Mechi zaidi ya tano hajaweza tatua tatizo la umaliziaji kwa washambuluaji wake
Kwaiyo unataka zahera aingie akafunge? Timu ilikua haina uwezo wa kutengeneza nafasi, kwasasa timu inapata nafasi ila kumalizia ndio tatizo sasa Zahera utamlaaumu vip? Wachezaji husika wanatakiwa waonyeshe kama wanastahili kucheza Pale mbele.Yanga imekuwa na mwendo wa kusuasua toka msimu mpya umeanza. Ilijitapa kw usjili wa mafungu mafungu. Mpaka sasa hakuna mchezaji aliyesajiliwa na kuonesha kiwango kikubwa.
Timu haina chemistry, haiwezi piga pasi mbili kwa usahihi.
Kocha Zahera ameshindwa kutengeneza muunganiko wa timu.
Namtabiria Mwinyi Zahera kufukuzwa mapema sana.
Mechi zaidi ya tano hajaweza tatua tatizo la umaliziaji kwa washambuluaji wake
Idadi ya wachezaji itaongezwa kama itafuzu makundi ya champions league au ya shirikisho.Huenda Moringa ataongezwa au atasajiliwa mwingine mpya tuShida foward hivi kweli yanga muda wote huo wameshindwa pata kibali cha molinga
Yanga imekuwa na mwendo wa kusuasua toka msimu mpya umeanza. Ilijitapa kw usjili wa mafungu mafungu. Mpaka sasa hakuna mchezaji aliyesajiliwa na kuonesha kiwango kikubwa.
Timu haina chemistry, haiwezi piga pasi mbili kwa usahihi.
Kocha Zahera ameshindwa kutengeneza muunganiko wa timu.
Namtabiria Mwinyi Zahera kufukuzwa mapema sana.
Mechi zaidi ya tano hajaweza tatua tatizo la umaliziaji kwa washambuluaji wake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu umenifanya nicheke kwa nguvu,maana tokea mechi iishe ndo nacheka naoYanga haina Chemistry ila huko Umbumbumbuni kuna Biology, Mathematics hadi History ndio maana mliwatoa Wamakonde.
Tatizo Bongo kila mtu ni kocha na anaujua mpira.
Sii angewaloga tuu
Mikia Hanna mamlaka ya kuongelea Yanga CAF champions league...mmetoka awali kabisa Kama timu za Somalia..Yanga haijawahi kutolewa mechi za awalivyura hao kila ukiwambia timu haiko vizuri wanakwambia timu ni mpya bado muunganiko, mara zahera hakuwepo kwenye kipindi cha Pre season, pumbaaaaaaaa!!!!