Yanga imekuwa na mwendo wa kusuasua toka msimu mpya umeanza. Ilijitapa kw usjili wa mafungu mafungu. Mpaka sasa hakuna mchezaji aliyesajiliwa na kuonesha kiwango kikubwa.
Timu haina chemistry, haiwezi piga pasi mbili kwa usahihi.
Kocha Zahera ameshindwa kutengeneza muunganiko wa timu.
Namtabiria Mwinyi Zahera kufukuzwa mapema sana.
Mechi zaidi ya tano hajaweza tatua tatizo la umaliziaji kwa washambuluaji wake
Timu haina chemistry, haiwezi piga pasi mbili kwa usahihi.
Kocha Zahera ameshindwa kutengeneza muunganiko wa timu.
Namtabiria Mwinyi Zahera kufukuzwa mapema sana.
Mechi zaidi ya tano hajaweza tatua tatizo la umaliziaji kwa washambuluaji wake