Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Huwa siongelei kitu ambacho sina ushahidi nacho, siwezi sema refa kaibeba timu ilhali mamlaka zenye kudili na hayo masuala zipoYanga kuchukua ligi bila kufungwa sio stori mpya kwenye ligi yetu, simba ilishafanya hivyo miaka tisa au kumi nyuma kama sikosei.
Na hata ukikaa chini kufanya calculations ya hizo mechi utaona kabisa zile mechi ambazo Yanga ali draw kwa asilimia kubwa matokeo hayo yalilazimishwa na filimbi ya muamuzi.
Refer kwenye mechi yenu na namungo utaona ile sare mliyoipata it wasn't meant to be ila kupitia refa akafosi na kuwapa faida nyinyi.
Ngoja tuwaone kimataifa kama mtakutana na mazari ya dzaini hii
We jidanganye hivyo hivyoNimeaangalia gemu vizuri, hata ukitoa povu lakini hizi ndio facts.
1. Utopolo hawana timu, umebaki ujanja ujanja tu ambao Azam walishaung'amua nje ya uwanja.
2.Utopolo wataishia hatua za awali tu, uwezo wa kwenda kuwafunga Al Hilal au St George kwa mpira ule hawana
3.Kocha wao hana uwezo, anabebwa na matukio ya ufundi nje ya uwanja
4.Wachezaji wa utopolo wazee sana, Bigirimana anatakiwa akalee wajukuu huo Burundi
5.Tuhuma za utopolo kwa TFF mara kwa mara lengo lake ni kuwatisha waamuzi ili wapate mbeleko
6.Nakiri na kutamka kwa ulimi Mayele ni mtu kazi
7.Kijana wa kizanzibar ndie nyota wa mambo ya ufund nje ya uwanja, alianzia benchi kimkakati kutokana na mambo yetu yale
8.Soka la bongo kwa yaliyotokea Leo ni mzaha mtupu
Kama huongei kitu ambacho huna ushahidi nacho, ebu fikiria hichi unachokiita "makosa ya refa" ni msimu uliopita ambapo Yanga mlikuwa mnafululiza na press kulalamika mnaonewa na kushinikiza TFF ifungie hao marefaHuwa siongelei kitu ambacho sina ushahidi nacho, siwezi sema refa kaibeba timu ilhali mamlaka zenye kudili na hayo masuala zipo
Ninachojua Mimi huwa ni makosa ya refa kushindwa kutafsiri sheria kumi na Saba vizuri.
Kuhusu kimataifa, si Simba si Yanga, hakuna mwenye uwezo wa kuwa afford miamba kama,
Wydad,
Mc alger
Al ahly
Pamoja na wababe wengine.
Kama As vita na Al merreikh zinatutoa jasho, hiyo nusu fainali utapitia mlango gani ufike huko?
Mtawafunga hao hao Asante kotoko, na mtakatifu George na siyo Zamalek na Wale Piramid.
Club ya Orlando pirates ya huko bondeni bado inawashangaa namna mlivyotaka kulipua uwanja wa watu ,
Yaani timu imesafiri na watu si chini ya thelathini halafu wote wakakosa busara ya kuweza kushauriana kuhusu madhara ya kuwanga mbele ya kamera
Aibu, aibu, aibu
Sasa wewe unashindwa kuongelea timu yako ambayo ni roho mkononi unaanza kuongelea timu ambayo timu yako aijaifikia ata robo ya ubora? Kama timu yako iyo mbovu inafanikiwa kimataifa vipi mwenzako ambae anakuzidi ubora asifanikiwe zaidi yako? Mda mwingine muwe mnaficha ujinga wenu mnakuwa mnaonyesha urofa wa viwango vya lami kabisaYanga kuchukua ligi bila kufungwa sio stori mpya kwenye ligi yetu, simba ilishafanya hivyo miaka tisa au kumi nyuma kama sikosei.
Na hata ukikaa chini kufanya calculations ya hizo mechi utaona kabisa zile mechi ambazo Yanga ali draw kwa asilimia kubwa matokeo hayo yalilazimishwa na filimbi ya muamuzi.
Refer kwenye mechi yenu na namungo utaona ile sare mliyoipata it wasn't meant to be ila kupitia refa akafosi na kuwapa faida nyinyi.
Ngoja tuwaone kimataifa kama mtakutana na mazari ya dzaini hii
Umeongea kimbea sio kitaalum, wewe ni wa kupiuzwaNimeaangalia gemu vizuri, hata ukitoa povu lakini hizi ndio facts.
1. Utopolo hawana timu, umebaki ujanja ujanja tu ambao Azam walishaung'amua nje ya uwanja.
2.Utopolo wataishia hatua za awali tu, uwezo wa kwenda kuwafunga Al Hilal au St George kwa mpira ule hawana
3.Kocha wao hana uwezo, anabebwa na matukio ya ufundi nje ya uwanja
4.Wachezaji wa utopolo wazee sana, Bigirimana anatakiwa akalee wajukuu huo Burundi
5.Tuhuma za utopolo kwa TFF mara kwa mara lengo lake ni kuwatisha waamuzi ili wapate mbeleko
6.Nakiri na kutamka kwa ulimi Mayele ni mtu kazi
7.Kijana wa kizanzibar ndie nyota wa mambo ya ufund nje ya uwanja, alianzia benchi kimkakati kutokana na mambo yetu yale
8.Soka la bongo kwa yaliyotokea Leo ni mzaha mtupu
Rage akukosea kuwabatiza lile jina aliona mbali kama mashabiki wenyewe ndio nyie mnayo safari ndefu sana, Kama unasema yanga awana timu vipi nyie mnayo timu? Maana ukishaisema ivyo timu inayokuzidi ubora kila idara inamaanisha wewe ndo kabisaaaa auna kila kitu, nilitegemea utaleta sababu za kiufundi kuonyesha icho ulichokisema kumbe ni tantalila tu za kwenye vijiwe vya kahawa,,bullshit!Nimeaangalia gemu vizuri, hata ukitoa povu lakini hizi ndio facts.
1. Utopolo hawana timu, umebaki ujanja ujanja tu ambao Azam walishaung'amua nje ya uwanja.
2.Utopolo wataishia hatua za awali tu, uwezo wa kwenda kuwafunga Al Hilal au St George kwa mpira ule hawana
3.Kocha wao hana uwezo, anabebwa na matukio ya ufundi nje ya uwanja
4.Wachezaji wa utopolo wazee sana, Bigirimana anatakiwa akalee wajukuu huo Burundi
5.Tuhuma za utopolo kwa TFF mara kwa mara lengo lake ni kuwatisha waamuzi ili wapate mbeleko
6.Nakiri na kutamka kwa ulimi Mayele ni mtu kazi
7.Kijana wa kizanzibar ndie nyota wa mambo ya ufund nje ya uwanja, alianzia benchi kimkakati kutokana na mambo yetu yale
8.Soka la bongo kwa yaliyotokea Leo ni mzaha mtupu
Umesahau tulivyo waingiza kinyume na maumbile kwenye game ya ngao ja jamii miaka miwili mfululizo?Nimeaangalia gemu vizuri, hata ukitoa povu lakini hizi ndio facts.
1. Utopolo hawana timu, umebaki ujanja ujanja tu ambao Azam walishaung'amua nje ya uwanja.
2.Utopolo wataishia hatua za awali tu, uwezo wa kwenda kuwafunga Al Hilal au St George kwa mpira ule hawana
3.Kocha wao hana uwezo, anabebwa na matukio ya ufundi nje ya uwanja
4.Wachezaji wa utopolo wazee sana, Bigirimana anatakiwa akalee wajukuu huo Burundi
5.Tuhuma za utopolo kwa TFF mara kwa mara lengo lake ni kuwatisha waamuzi ili wapate mbeleko
6.Nakiri na kutamka kwa ulimi Mayele ni mtu kazi
7.Kijana wa kizanzibar ndie nyota wa mambo ya ufund nje ya uwanja, alianzia benchi kimkakati kutokana na mambo yetu yale
8.Soka la bongo kwa yaliyotokea Leo ni mzaha mtupu
Hivi we kijana kazi unafanyaga saa ngapi, maana muda wote nakuona hapa jf ukibishania mambo ya Simba vs Yanga.Kama huongei kitu ambacho huna ushahidi nacho, ebu fikiria hichi unachokiita "makosa ya refa" ni msimu uliopita ambapo Yanga mlikuwa mnafululiza na press kulalamika mnaonewa na kushinikiza TFF ifungie hao marefa
Leo hii makosa ya refa yamekunusuru na kipigo unalipi la kujikosoa kwenye yale malalamiko yako ya msimu uliopita?
Simba kimataifa huwezi ukaifananisha na Yanga at any level
Hiyo miamba unayoisema wewe yote inakiri uwezo wa Simba, Al Ahly kocha wao alishawahi kusema hakuna sehemu ngumu kupata matokeo kama luoaso akiwa anacheza dhidi ya Simba
Hiyo recognization inatisha sana kuonesha sisi tupo levele gani
Ongeza na goli la sakho lililokuwa bora katika mashindano yote ya hapa Africa, brother bado tu unataka kuiweka Simba sehemu moja na Yanga?
Dah Makola bana, Kwahiyo Fei ndiyo alikuwa na jukumu la kufunga vipi kuhusu BokoHuyo Fiesal kweli magumashi, ina maana alishindwa vipi kuifunga Uganda? Kweli huyo jamaa hana kitu zaidi ya madude yao tu
Kalete timu yako ukakione cha MotoHiyo ni Math sio history kama unavyo dhani na ndio umetoka kapa
Hizi makala pekeka NipasheKama huongei kitu ambacho huna ushahidi nacho, ebu fikiria hichi unachokiita "makosa ya refa" ni msimu uliopita ambapo Yanga mlikuwa mnafululiza na press kulalamika mnaonewa na kushinikiza TFF ifungie hao marefa
Leo hii makosa ya refa yamekunusuru na kipigo unalipi la kujikosoa kwenye yale malalamiko yako ya msimu uliopita?
Simba kimataifa huwezi ukaifananisha na Yanga at any level
Hiyo miamba unayoisema wewe yote inakiri uwezo wa Simba, Al Ahly kocha wao alishawahi kusema hakuna sehemu ngumu kupata matokeo kama luoaso akiwa anacheza dhidi ya Simba
Hiyo recognization inatisha sana kuonesha sisi tupo levele gani
Ongeza na goli la sakho lililokuwa bora katika mashindano yote ya hapa Africa, brother bado tu unataka kuiweka Simba sehemu moja na Yanga?
wejamaq umeongea kinyume et!Azam wamepata sare lakini Kwa jinsi Walivyo kimbizwa uwanjani, sidhani kama Kuna mchezaji atashuka ndani ya gari wakifika pale chamanzi. Leo watalala ndani ya Gari, wamechoka vibaya sana.
Sijui kwanini utopolo wanakomaa sana kunifananisha na mnyama linapokuja suala la kimataifa. Nahisi kuna kinyesi atapinga na hilo. Akili wanazo wawili tu pale.Kama huongei kitu ambacho huna ushahidi nacho, ebu fikiria hichi unachokiita "makosa ya refa" ni msimu uliopita ambapo Yanga mlikuwa mnafululiza na press kulalamika mnaonewa na kushinikiza TFF ifungie hao marefa
Leo hii makosa ya refa yamekunusuru na kipigo unalipi la kujikosoa kwenye yale malalamiko yako ya msimu uliopita?
Simba kimataifa huwezi ukaifananisha na Yanga at any level
Hiyo miamba unayoisema wewe yote inakiri uwezo wa Simba, Al Ahly kocha wao alishawahi kusema hakuna sehemu ngumu kupata matokeo kama luoaso akiwa anacheza dhidi ya Simba
Hiyo recognization inatisha sana kuonesha sisi tupo levele gani
Ongeza na goli la sakho lililokuwa bora katika mashindano yote ya hapa Africa, brother bado tu unataka kuiweka Simba sehemu moja na Yanga?
Mnapata tabu kwani mpaka sasa sioni nilicho zidiwa, kama refa angekuwa fair Azam walitakiwa wacheze 10 uwanjani tokea kipindi cha kwanza.Nimeaangalia gemu vizuri, hata ukitoa povu lakini hizi ndio facts.
1. Utopolo hawana timu, umebaki ujanja ujanja tu ambao Azam walishaung'amua nje ya uwanja.
2.Utopolo wataishia hatua za awali tu, uwezo wa kwenda kuwafunga Al Hilal au St George kwa mpira ule hawana
3.Kocha wao hana uwezo, anabebwa na matukio ya ufundi nje ya uwanja
4.Wachezaji wa utopolo wazee sana, Bigirimana anatakiwa akalee wajukuu huo Burundi
5.Tuhuma za utopolo kwa TFF mara kwa mara lengo lake ni kuwatisha waamuzi ili wapate mbeleko
6.Nakiri na kutamka kwa ulimi Mayele ni mtu kazi
7.Kijana wa kizanzibar ndie nyota wa mambo ya ufund nje ya uwanja, alianzia benchi kimkakati kutokana na mambo yetu yale
8.Soka la bongo kwa yaliyotokea Leo ni mzaha mtupu