Yanga hamna timu, tusidanganyane

Mara ya mwisho timu lako lilipigwa mbili na yanga hihii ajabu ninini au umesahau mayele alivyo tetema nyuma ya bukta zenu mara mbili, kama unaona leo yanga kabebwa leta makolo wenzako uwanjani
Tena bila chupi.....mbende2.
 
Kama unadhani Azam kaonewa, lete timu yako
 
Utopolo Fc
 
Pilipili usiyo ila, inakuwashia nini?
 
Bora Azam wamepata sare ila timu yako ilipigwa goli mbili na timu hiyo hiyo unayosema mbovu au wachezaji wenu waliongwa pesa na GSM?
 
Mara ya mwisho timu lako lilipigwa mbili na yanga hihii ajabu ninini au umesahau mayele alivyo tetema nyuma ya bukta zenu mara mbili, kama unaona leo yanga kabebwa leta makolo wenzako uwanjani
Utapigwa kama ngoma umesahau Simba alivyokupiga 5
 
Kimataifa watabanduliwa nje ndani hamna MAREFA wa mchongo
 
Mbona Simba uwa wanahonga na wanapasuliwa, kama mnafikiria unbtean inapatikana Kwa kuhonga endeleeni kusubiri[emoji2][emoji2][emoji2]. Siku mtakayo cheza na Yanga hongeni mtakavyo weza tuone kama hamta pasuka.
Kipindi Simba anakupasua 5 aka hamsa ulikuwa bado village
 
Feisal ndo ana nyota ya uchawi mbona kwenye mechi za kimataifa utopolo wanabanduliwa kama under dog
 
Na ukaishia kupigwa 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…