Yanga hata mechi ya kirafiki mnabebwa?Aibu sana

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
Naona mnacheza rafu nyingi na refa hawapi kadi.Matokeo yake mnasababisha wageni wawe na hasira na kupelekea mmoja kupewa kadi mbili za njano.

Hivi mnampango wa kupima wachezaji wenu kweli?
 
Mimi mwanayanga ila kadi nyekundu imeharibu ladha kiukweli... tungeipotezea tu tuwe sawa sawa tuone ubora wa timu yetu ikicheza na mtu aliyekamilika.. wote tuwe 11 kwa 11

Kadi nyekundu imetolewa kiulaini sana .. angalau ingekuwa rafu kubwa
 
Kiukweli, mpira ninaouona sio nilioutegemea kwa Yanga
 
Mimi mwanayanga ila kadi nyekundu imeharibu ladha kiukweli... tungeipotezea tu tuwe sawa sawa tuone ubora wa timu yetu ikicheza na mtu aliyekamilika.. wote tuwe 11 kwa 11

Kadi nyekundu imetolewa kiulaini sana .. angalau ingekuwa rafu kubwa
Refa sijui alishindwa vipi kufikiria kuwa ile ni mechi ya burudani tu. Kitendo kile Cha kutolewa mchezaji kwa kadi yekundu kimewastajabisha sana karibu kila mtu haijalishi mwana Yanga au sio mwana yanga. Nimemuona Deusi Kaseke akipigwa na mshangao wa kuhamaki wakati refa akionesha kadi nyekundu.
 

Ndio maana marefa wetu wanazarauliwa.. hata mashindano ya caf huwezi kuona refa kutoka Tanzania anapewa nafasi. Ametuharibia mechi leo
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…