Yanga hatarini kufungiwa usajili, Eymael asema asilaumiwe

Juventus iliwahi mkuta hii si mara moja
 
It's a wastage of time, kama madai yake yapo kisheria aende sehemu husika mzungu gani hana akili, mind you issue ya Feisal no siasa imefanyika na hio kitu imepanda mbegu mbaya sana huko mbele tukijaliwa uhai tutaona matunda yake
 
Yaan yanga kufungiwa clab bingwa kiss ms*nge mmoja tuu
 
It's a wastage of time, kama madai yake yapo kisheria aende sehemu husika mzungu gani hana akili, mind you issue ya Feisal no siasa imefanyika na hio kitu imepanda mbegu mbaya sana huko mbele tukijaliwa uhai tutaona matunda yake
Kwani hata sheria zenyewe mnazifuata?

Kama CAS tu wametoa amri mumlipe Lucy Eymael hela yake ndani ya siku 45 na mpaka saizi bado hamjamlipa unafikiri sheria pekee inatosha kuwafanya mheshimu Ethics za taasisi?
 
Ila huyu jamaa mbona kama walimvuruga sana maana kawakalia kooni. Hiki kisa halafu sikijui vizuri.
 
Kwani hata sheria zenyewe mnazifuata?

Kama CAS tu wametoa amri mumlipe Lucy Eymael hela yake ndani ya siku 45 na mpaka saizi bado hamjamlipa unafikiri sheria pekee inatosha kuwafanya mheshimu Ethics za taasisi?
Mimi una ni include kama nani? Kama CAS wametoa hukumu si asubiri utekelezaji
 
Mimi una ni include kama nani? Kama CAS wametoa hukumu si asubiri utekelezaji
Naku-include kama shabiki.

Hukumu ndio hiyo kulipa faini ambayo muda waliopangiwa umeisha na bado hela haijalipwa.
 
Yanga mpaka Sasa imeshasajili wawili Bado mmoja.
Wale mnao kerwa na hilo wakumbusheni CAF kuwa Yanga wanasajili wakati wamefungiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…