Yanga hatulalamiki, wala hatutumi wazee waitishe press

Yanga hatulalamiki, wala hatutumi wazee waitishe press

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Sisi Yanga tumefungwa, lakini tumeridhika

Makando kando yalikuwepo
Tumepewa red card ♦️ dakika ya 26

Maamzi ya mwamzi yalitukesesha ushindi
Ila tumechukulia kama sehemu ya mchezo na kukubali matokeo na kujipa muda wa kujiandaa Kwa michezo ijayo

Lakini wenzetu Leo wangeamka na malalamiko na wazee wa timu wasiojielewa kushambulia waamzi Kwa maneno makali
Ati kuwapoteza na kuwauwa kabisa. Walitoa siku 7sijui hazijaisha

Hii ndo maana ya timu kubwa hakuna kulalamika Kupotezwa ni sehemu ya mchezo
 
Sisi Yanga tumefungwa, lakini tumeridhika
Makando kando yalikuwepo
Tumepewa red card ♦️ dakika ya 26
Maamzi ya mwamzi yalitukesesha ushindi
Ila tumechukulia kama sehemu ya mchezo na kukubali matokeo na kujipa muda wa kujiandaa Kwa michezo ijayo

Lakini wenzetu Leo wangeamka na malalamiko na wazee wa timu wasiojielewa kushambulia waamzi Kwa maneno makali
Ati kuwapoteza na kuwauwa kabisa
Walitoa siku 7sijui hazijaisha

Hii ndo maana ya timu kubwa hakuna kulalamika
Kupotezwa ni sehemu ya mchezo
Hamlalamiki wakati kina mwalimu wanadai waziri naibu waziri na katibu mkuu ni Simba na wamepanga matokeo ya Azam..Au wewe unawakilisha yanga wote! Ujinga ni kuwasemea hata usiowafahamu..sema wewe hulalamiki
 
Sisi Yanga tumefungwa, lakini tumeridhika
Makando kando yalikuwepo
Tumepewa red card ♦️ dakika ya 26
Maamzi ya mwamzi yalitukesesha ushindi
Ila tumechukulia kama sehemu ya mchezo na kukubali matokeo na kujipa muda wa kujiandaa Kwa michezo ijayo

Lakini wenzetu Leo wangeamka na malalamiko na wazee wa timu wasiojielewa kushambulia waamzi Kwa maneno makali
Ati kuwapoteza na kuwauwa kabisa
Walitoa siku 7sijui hazijaisha

Hii ndo maana ya timu kubwa hakuna kulalamika
Kupotezwa ni sehemu ya mchezo
Mpaka mseme
 
Sisi Yanga tumefungwa, lakini tumeridhika
Makando kando yalikuwepo
Tumepewa red card ♦️ dakika ya 26
Maamzi ya mwamzi yalitukesesha ushindi
Ila tumechukulia kama sehemu ya mchezo na kukubali matokeo na kujipa muda wa kujiandaa Kwa michezo ijayo

Lakini wenzetu Leo wangeamka na malalamiko na wazee wa timu wasiojielewa kushambulia waamzi Kwa maneno makali
Ati kuwapoteza na kuwauwa kabisa
Walitoa siku 7sijui hazijaisha

Hii ndo maana ya timu kubwa hakuna kulalamika
Kupotezwa ni sehemu ya mchezo

Mbebwaji Lzm atulie...!

Wewe Umebebwq,UtaLaLamika nini Sasa ?
 
Weee kuna vyura huko instagram wanatoa shomboo kuanzia TFF mpk kwa washika kibendera...
Ndo maana mashabiki wa Simba huwa hatukondi kwa sbb tunatoaga yetu ya moyoni ila nyie mnaojilazimisha ustaarabu eti hamlalamiki endeleeni kukondeana..
By the way malalamike nini? Goli la viwango vya juu..
Kadi ya uhalali sio kama yule kichaa kayoko...
Hapo mkilalamika mtakua hamna akili...😀😀😀😀
 
Sisi Yanga tumefungwa, lakini tumeridhika
Makando kando yalikuwepo
Tumepewa red card ♦️ dakika ya 26
Maamzi ya mwamzi yalitukesesha ushindi
Ila tumechukulia kama sehemu ya mchezo na kukubali matokeo na kujipa muda wa kujiandaa Kwa michezo ijayo

Lakini wenzetu Leo wangeamka na malalamiko na wazee wa timu wasiojielewa kushambulia waamzi Kwa maneno makali
Ati kuwapoteza na kuwauwa kabisa
Walitoa siku 7sijui hazijaisha

Hii ndo maana ya timu kubwa hakuna kulalamika
Kupotezwa ni sehemu ya mchezo
Unasemaje wewe,hebu rudia tena.
 

Attachments

  • VID-20241103-WA0002.mp4
    4 MB
Sisi Yanga tumefungwa, lakini tumeridhika
Makando kando yalikuwepo
Tumepewa red card ♦️ dakika ya 26
Maamzi ya mwamzi yalitukesesha ushindi
Ila tumechukulia kama sehemu ya mchezo na kukubali matokeo na kujipa muda wa kujiandaa Kwa michezo ijayo

Lakini wenzetu Leo wangeamka na malalamiko na wazee wa timu wasiojielewa kushambulia waamzi Kwa maneno makali
Ati kuwapoteza na kuwauwa kabisa
Walitoa siku 7sijui hazijaisha

Hii ndo maana ya timu kubwa hakuna kulalamika
Kupotezwa ni sehemu ya mchezo
img_1_1730588381369_1.jpg


Sijui kanywa Nini huyu 😇
 
Weee kuna vyura huko instagram wanatoa shomboo kuanzia TFF mpk kwa washika kibendera...
Ndo maana mashabiki wa Simba huwa hatukondi kwa sbb tunatoaga yetu ya moyoni ila nyie mnaojilazimisha ustaarabu eti hamlalamiki endeleeni kukondeana..
By the way malalamike nini? Goli la viwango vya juu..
Kadi ya uhalali sio kama yule kichaa kayoko...
Hapo mkilalamika mtakua hamna akili...😀😀😀😀
img_1_1730596676293_1.jpg

😊😊
 
Mmefungwa kihalali sasa mlalamikie nini..Simba walalamika Kwa sababu ya dhulmati za Kayoko
 
Sisi Yanga tumefungwa, lakini tumeridhika
Makando kando yalikuwepo
Tumepewa red card ♦️ dakika ya 26
Maamzi ya mwamzi yalitukesesha ushindi
Ila tumechukulia kama sehemu ya mchezo na kukubali matokeo na kujipa muda wa kujiandaa Kwa michezo ijayo

Lakini wenzetu Leo wangeamka na malalamiko na wazee wa timu wasiojielewa kushambulia waamzi Kwa maneno makali
Ati kuwapoteza na kuwauwa kabisa
Walitoa siku 7sijui hazijaisha

Hii ndo maana ya timu kubwa hakuna kulalamika
Kupotezwa ni sehemu ya mchezo
Sasa wewe hapa unafanya nini?
 
Sisi Yanga tumefungwa, lakini tumeridhika
Makando kando yalikuwepo
Tumepewa red card ♦️ dakika ya 26
Maamzi ya mwamzi yalitukesesha ushindi
Ila tumechukulia kama sehemu ya mchezo na kukubali matokeo na kujipa muda wa kujiandaa Kwa michezo ijayo

Lakini wenzetu Leo wangeamka na malalamiko na wazee wa timu wasiojielewa kushambulia waamzi Kwa maneno makali
Ati kuwapoteza na kuwauwa kabisa
Walitoa siku 7sijui hazijaisha

Hii ndo maana ya timu kubwa hakuna kulalamika
Kupotezwa ni sehemu ya mchezo
Umesahau wazee walitaka kwenda ikulu kwa madai tff inahujumu yanga kweli huwa muda mwingine vichwa vyenu Hersi anakuwa amevifungia kabatini kauli ya manara itaishi milele wenye akili ni wawili tu yanga nzima!
 
Back
Top Bottom