Yanga Hatuna Furaha

Endelea kuota USM Algiers sio Marumo

Wale mpira wanaujua mlikuwa mnakutana na vibonde
Wewe mpira haujui, mpira ni kujipanga kimbinu na kiufundi hao unaowaona ni kibonde USM Alger alikula chuma mbili kule South Africa. Lakini Yanga akamfungia huko huko South Africa. Mpira ni kuweza kuingia na approach nzuri na bora kuliko mpinzani wako. Marumo unayemdharau kamkanda huyo USM Alger
 
DahπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…mwiko mbele na nyuma
 
Narudia tena mpira wa miguu ni mchezo usiotabirika lolote linaweza kutokea. Kuleta mifano ya hao watu hakuwezi kubadilisha ukweli kuwa kwenye mpira lolote linaweza tokea.
 
Medali bila kombe ni shanga tu. Vaeni kiunoni.
 
Narudia tena mpira wa miguu ni mchezo usiotabirika lolote linaweza kutokea. Kuleta mifano ya hao watu hakuwezi kubadilisha ukweli kuwa kwenye mpira lolote linaweza tokea.
Kama ni mpira usiotabirika hiyo inazuiaje watu kutoa maoni yao?

Kwanini mtu akitoa maoni yanayoonesha uwezekano wa timu yako kufungwa, ukasirike?

Mbona wachambuzi wakitoa maoni kuwa mnaenda kufanya come back hujawahi kusema mpira hautabiriki?

Kwanini uumizwe na maoni ya watu huku ukijua kabisa kutokana na mpira kutotabirika hivyo uwezekano wa hayo maoni kuja kutokea vile vile upo pia?
 
Kama kuzungumza ukweli ndio kukasirika basi endelea kufikiria unachofikiria. Kwasababu hata hali ya kujiaminisha kuwa unaenda kufanya comeback ni jambo hilo hilo moja ambapo mpira hauna kanuni ya kutokea kile kile unachotaka au kukiwaza. Kwavile upo humu na akili ya kubishana basi endelea kubishana tu.
 
Kwako wewe anayekubali kila kitu unachokiandika hawezi kuhesabika kama mbishi

Unakataa watu wasitoe maoni yao negative kuhusu Yanga kwa hoja kuwa mpira hautabiriki.

Ila mtu mwingine akitoa maoni kuwa Yanga ataenda kushinda hujitokezi kupingankwa madai yale yale ya mpira hautabiriki.

Hiyo ina maanisha wewe hupendi kuona au kusikia Yanga inasemwa negative kwa hiyo kusema mpira hautabiriki ni kichaka tu kwasababu sehemu zingine zinazokuridhisha wewe hujaonesha kufuata falsafa hiyo.
 
Kwani niko taifa mimi nalowaje kwanza wakati mvua tunaleta sisi
Vipi unafanya mazoezi ya kunyanyua kwapa kama juzi au ndo umekata tamaa kisa mvua ya simba?
Mbona mnaumia sana waarabu koko wa Mchambawima?
Sisi tuna amani, tunajiamini na Imani kubwa.
Tunaelewa huu msimu, mmelamba upupu, now mnapapatika tu.

#WHYNOTUS#
#teamyawananchi#
#yangadaimambelenyumamwiko#
πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°πŸ”°
 
Case [emoji735]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…