Yanga Hatuna Furaha

[emoji625]
 
Endeleeni kuota ndoto za mchana . Kama mnafikiri ile ni singida big star kwamba mtachonga tu na mchembe kisha anawaachia mechi basi mmefeli
 
Lakini sio kwa Alger...Nadhani unatambua hii sio saiz ya Monastr
 
Ukiwa na akili timamu unatolea mfano wa al hilal utadhani mlimtoa,halafu matokeo ya club africain yalikuwa yanawabeba nyinyi kama vile ya simba na ud songo.
 
Lakini sio kwa Alger...Nadhani unatambua hii sio saiz ya Monastr
Hao Alger wanaingia uwanjani zaidi ya wachezaji 11? mpira ni kujipanga vizuri kimbinu na kiufundi. Hata Marumo mnaowabeza kuwa vibonde aliweza kumfunga hao USM Alger goli mbili kwa bila kule kwa Madiba. Ni swala la kujipanga tu kwa timu hakuna siri nyingine. Ni kuingia na mbinu sahihi, wachezaji kutofanya makosa na pia kutumia kwa ufasaha nafasi zinazopatikana. Lolote linaweza kutokea kwenye mpira, either Yanga kufungwa goli nyingi au chache au sare au Yanga kuchukua kombe au Yanga kushinda lakini asichukue kombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…