Yanga hatutotoboa kwa Kagera Sugar

Yanga wala tusijipe moyo na matokeo ya jana timu bado kabisa na tuna safari ndefu kwa sababu zifuatazo
1. Muunganiko wa timu bado kabisa kuna kazi ya ziada inahitajika
2. Mabeki muda mwingi wanakatika sasa tukikutana na timu tishio kama azam na simba tutafungwa ya kutosha
3. Sijaona creative passes zozote kwenye final third za mpinzani wetu
4. Wings mara zote zinaingia ndani badala ya kuchanua kutengeneza wigo mpana wa kupokea mipira
5. Bado hakuna striker mwenye target ya goli hadi dakika hii
** hayo machache tu kuna mengi tutakuja kuambiana
 
Kwasasa Yanga inahitaji point tatu Kuliko Muunganiko, Muunganiko utakuja mbele ya safari nyie mbumbumbu fc endeleeni kunganika sisi point tatu kwa kila mechi inayokuja ndio Muunganiko wetu.
Hujui mpira wewe
 
Simba mwenye beki borakafungwa goli ngapi na Yanga kafungwa goli ngapi , muuunganiko upi kaungane basi wewe
 
Matako ya nyani we. Fungua tred nyingine,elezea huu utumbo mwingine. Lakini kwenye huu uzi ume-fail mbayaaaaaa....! Akili yako isingekuwa kilema ungeikimbia hii tred
 
Simba mwenye beki borakafungwa goli ngapi na Yanga kafungwa goli ngapi , muuunganiko upi kaungane basi wewe
Muunganiko wa timu sio kazi ya siku moja au mwezi mmoja,muunganiko unatengenezwa,haudondoki
 
Matako ya nyani we. Fungua tred nyingine,elezea huu utumbo mwingine. Lakini kwenye huu uzi ume-fail mbayaaaaaa....! Akili yako isingekuwa kilema ungeikimbia hii tred
We mkun..du nini nani unamwambia matako ya nyani kwani huwezi kuandika bika kutukana kuna wakubwa wako humu acha mambo ya ajabu
 
We mkun..du nini nani unamwambia matako ya nyani kwani huwezi kuandika bika kutukana kuna wakubwa wako humu acha mambo ya ajabu
Naona Isha geuka thread ya matusi
 
Babu tulishatoboa tundu la Kagera zamani, vipi unajisikiaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…