pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
- Thread starter
- #41
Kwa hyo al hilal na zalan ndo kipimo sahihi kweli kule wenye akili ni wawili tu haya changeni hela mumlipe Lucy aymel aliyewaita manyani na kweli hakukoseaNdo maana nasema Rage akukosea kwenye ule msemo wake, mashabiki wa simba wamebaki na akili za kuvukia barabara tu, kwa timu iyo ya de agosto uliyokutana nayo ata ingecheza na Ihefu isingepata matokeo kwa mpira ule wanaocheza, ukijaribu kucompare Al hilal waliyokutana nayo yanga ni sawa na mlima kulinganisha na kichuguu, Mfurahi kwa kushinda mechi yenu lakini msianze kujimwambafai kuwa mmekutana na kipimo cha mechi ngumu kulinganisha na yanga mtakuwa mnajidanganya pakubwa, Mmekutana na timu ambayo kwanza inaonyesha kabisa imejaza vijana wengi wasiokuwa na uzoefu wowote wa kucheza michuano mikubwa, pili ni timu ambayo squad yake ni butu kuliko maelezo, tatu ni timu inayocheza mpira wa kishule shule sana yani utoto mwingi na uzoefu umewahukumu, kipigo walichopigwa na namungo kipindi kile cha goli 6 akikuwa cha bahati mbaya kilikuwa ni halali yao kulingana na kiwango walichonacho