kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Leo nimecheki weather ya lageria
Naona mvua kubwa itaanza kunyesha Na saa 3 usiku ambazo saa yanga Na USM wataingia uwanjani
Mvua itapumzika Na saa 4 usiku ambazo ni saa ambazo yanga watakwenda mapumzikoni Tena inaanza Na saa 4 nusu Na kumalizika Na saa 5 usku ambazo ni saa mpira utakuwa umemalizika
Tuseme yanga hawana bahati Na mvua tu basi Na hii sio kombe letu au [emoji24][emoji24]
Ila Bado najiuliza inawezekanaje watu warefu wakacheza mpira mzuri kwenye mvua kuliko watu wafupi ?
Maana wachezaji wa USM Alger wengi ni warefu Kweli Na most ya wachezaji wetu sio warevu wanashindwaje kukaza chini kwenye uterezi
Hii mechi ikimalizika viongozi wa yanga wabebe wachezaji wao kwenye viwanja vya mtaani ambavyo vimejaa matope waanze kupiga mazoezi Yao kwa takribani mwezi miwili tu watakuwa Na uhimara wa kucheza kwenye viwanja vyovyote vile
Naona mvua kubwa itaanza kunyesha Na saa 3 usiku ambazo saa yanga Na USM wataingia uwanjani
Mvua itapumzika Na saa 4 usiku ambazo ni saa ambazo yanga watakwenda mapumzikoni Tena inaanza Na saa 4 nusu Na kumalizika Na saa 5 usku ambazo ni saa mpira utakuwa umemalizika
Tuseme yanga hawana bahati Na mvua tu basi Na hii sio kombe letu au [emoji24][emoji24]
Ila Bado najiuliza inawezekanaje watu warefu wakacheza mpira mzuri kwenye mvua kuliko watu wafupi ?
Maana wachezaji wa USM Alger wengi ni warefu Kweli Na most ya wachezaji wetu sio warevu wanashindwaje kukaza chini kwenye uterezi
Hii mechi ikimalizika viongozi wa yanga wabebe wachezaji wao kwenye viwanja vya mtaani ambavyo vimejaa matope waanze kupiga mazoezi Yao kwa takribani mwezi miwili tu watakuwa Na uhimara wa kucheza kwenye viwanja vyovyote vile