Yanga hawana hela ya kuweka kambi Moro!

Yanga hawana hela ya kuweka kambi Moro!

Sasa hivi maneno mengiii! Halafu ligi ikianza, mnaaza kulialia huku mkimshutumu GSM, eti anahonga timu pinzani! Cha kushangaza na timu yenu yenyewe nayo ilifungwa mara mbili ndani ya msimu mmoja!

Kweli Ismail Aden Rage alikuwa na akili za kipekee kwa kuwaita mbumbumbu.
Mbona mkizusha nyie mnapeana likes lakini mkizushiwa nyie mayowe mengiii? Wenye akili watazungumza baada ya ligi kuanza sasa hivi mtaumizana vichwa tu. Ila Luc Eymael aliwapatia kweli kuwaita nyie mbwakoko,mnabweka ovyo
 
Sasa hivi maneno mengiii! Halafu ligi ikianza, mnaaza kulialia huku mkimshutumu GSM, eti anahonga timu pinzani! Cha kushangaza na timu yenu yenyewe nayo ilifungwa mara mbili ndani ya msimu mmoja!

Kweli Ismail Aden Rage alikuwa na akili za kipekee kwa kuwaita mbumbumbu.
Utopolooooo ktk ubora wako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Simba mnateseka sana mmebakia kuiombea mabaya yanga
Hiyo yote hayo ni baada ya kukosa vikombe vyote na kuumizwa na squad linalokuja la wananchi...kazi mnayo safari hii.
 
Kwa mazingira ya kambi walipo Simba, yaana hata makazi ya wafungwa Yana unafuu. Ila Madam Barbra Mungu anskuona ujue? Si vizurinamna hii, si borangebaki bunju tu
 
Za ndani kuna pande mbili zinavutana,Yanga asili hawapo tena,baada ya engineer kuwa rais, hata press baada ya hapo hazina logo ya Yanga (asili) ni makampuni yanayodhamini tu. GSM wamelalamika kupigwa hela nyingi wakati hakukuwa na ushindani kwa mchezaji aliyesajiliwa wa mwisho.

Kwa vile GSM ana jambo lake kigamboni amekasirika kambi itakuwa pale pale maana hata uturuki na Moro ni upigaji.
Tukubaliane kabisa kwamba Yanga haina hela imeishia kwa Aziz Ki baadae zisije lawama za bahasha za kaki, yanga wananunua mechi.
 
Baadae hatutaki kusikia kuhusu GSM kununua mechi na Bahasha zake

Tumekubaliana kwasasa GSM hana pesa,ameishiwa coz zote zimeenda kwa Aziz Ki

Lawama zitaanza mapema sana,tar 13.8.2022
 
Hapa ingekuwa simba sijui kama huyu mama chaumbeya tungempona
20220704_163554.jpg


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Mbona mkizusha nyie mnapeana likes lakini mkizushiwa nyie mayowe mengiii? Wenye akili watazungumza baada ya ligi kuanza sasa hivi mtaumizana vichwa tu. Ila Luc Eymael aliwapatia kweli kuwaita nyie mbwakoko,mnabweka ovyo
Utopolooooo ktk ubora wako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi tumekubaliana Yanga haina hela ya kuweka kambi nje ya nchi kama simba.

Ila msimu ukichanganya, hatutaki kusikia tena malalamiko ya aina yotote ile kutoka kwenu. Yawe ni ya kuhusu kambi yenu huko Misri kutokuwa na tija, au ya GSM kuwahonga akina Manula na Onyango, ili kuipa ushindi Yanga.
 
Za ndani kuna pande mbili zinavutana,Yanga asili hawapo tena,baada ya engineer kuwa rais, hata press baada ya hapo hazina logo ya Yanga (asili) ni makampuni yanayodhamini tu. GSM wamelalamika kupigwa hela nyingi wakati hakukuwa na ushindani kwa mchezaji aliyesajiliwa wa mwisho.

Kwa vile GSM ana jambo lake kigamboni amekasirika kambi itakuwa pale pale maana hata uturuki na Moro ni upigaji.
Kwaiyo tumekubaliana yanga imeishiwa pesa na huu uzi wako tunautunza vizuri sana, Ligi ikianza autokuwa na nafasi kupanua mdomo wako kusema gsm anatoa bahasha za kaki, mara kambi ya misri aikuwa na tija, Mara hivi mara vile,,jiandae kisaikolojia
 
Basi tumekubaliana Yanga haina hela ya kuweka kambi nje ya nchi kama simba.

Ila msimu ukichanganya, hatutaki kusikia tena malalamiko ya aina yotote ile kutoka kwenu. Yawe ni ya kuhusu kambi yenu huko Misri kutokuwa na tija, au ya GSM kuwahonga akina Manula na Onyango, ili kuipa ushindi Yanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa jinsi umavyoteseka, naomba tuchange hela ili utopolo iende [emoji1250], uwe na amani.

Byuti byuti.
 
Afu ki aziz sjui ana nn??? Sa kwann alikataa tusimkope si tungemlipa mwakanibona sasa kakomba mifwedha yooote
 
Back
Top Bottom