Escort King
Member
- May 20, 2021
- 12
- 20
Lifanyiwe Kazi sasa 😂Tumekusikia
Rubbish unaongea Kama unaumwa BAWASILIWatakuaje na taarifa wakati wako focused na migogoro, migomo na kupata maelekezo kutoka Kwa wale wazee wa kamati za 'ufundi'?
Tupo kwenye mchakato mkuu taarifa inakuja soonLifanyiwe Kazi sasa [emoji23]
Mzee Kaunda amefarikiRubbish unaongea Kama unaumwa BAWASILI
Hamgomei msiba?Tupo kwenye mchakato mkuu taarifa inakuja soon
Wewe ni mmoja wa mambumbumbu aliowazungumzia Jemedari RageHamgomei msiba?
Acha uzwazwa Mbumbumbu wewe angalia taarifa hiyoView attachment 1822730
Unaongea bila kufanya uchunguzi au kusubiri, haya vipi limekuingia la kati au sio.Mzee Mpili a.k.a mzee wa nyuklia anasema hivi''wanachama wa Yanga kadi namba 1 ni Nyerere,kadi namba 2 Mzee Karume na kadi namba 3 ni mzee Keneth Kaunda.
Lakini cha ajabu founder wa klabu ya Yanga wanafariki wenye klabu hawajali.
UTOPOLO hawajawahi kuwa na akili hata kidogo, yaani usingewashtua wala wasingejuaImetolewa baada ya kuwananga hapa. Angalia muda wa taarifa yao ulinganishe na thread hii
Tujipongeze kwa kuwakumbusha wajibu wao
Yanga sio mbumbumbuInasikitisha kuona timu kubwa kama Yanga ambayo imeupachika uwanja wake jina la Kenneth Kaunda Stadium inashindwa kutoa hata taarifa ya kusikitishwa na msiba wa mwanamajumui huyu wa Afrika.
Ndio kusema Viongozi hawana taarifa ya msiba huu au hawajui vinasaba vya Kenneth Kaunda na Yanga?
====== U P D A T E S====
Tunawashukuru Viongozi wa Yanga KWA kuwa wasikivu na kulifanyia KAZI suala hili. Asanteni
View attachment 1822790