Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
Wewe ndo unataka kujitoa ufahamu, ikiwa unajua wazi kabisa kwasasa kule msimbaz mambo si shwari ila unataka kuweka mizani sawa na uto ambao mpo kwenye form nzuri.Mechi ya Simba na ASEC uwanja ulijaa? au mnajitoa fahamu
Sisi mashabiki tumesusia kwenda MAKUSUDIKALIMechi ya Simba na ASEC uwanja ulijaa? au mnajitoa fahamu
Umesema nyie hua mnajaza uwanja bila kujali performance ya timu hayo makusudi yanatoka wapiSisi mashabiki tumesusia kwenda MAKUSUDIKALI
Bodi ya ligi isha toa takwimu timu ipi inaongoza kwa mapato uwanjani na idadi ya mashabiki kama una takwimu zako binafisi weka hapaWewe ndo unataka kujitoa ufahamu, ikiwa unajua wazi kabisa kwasasa kule msimbaz mambo si shwari ila unataka kuweka mizani sawa na uto ambao mpo kwenye form nzuri.
Rejea tu game ya mwisho kati ya mnyama na al ahly ya october 20 aaf ulinganishe na game yenu ya jana na ahly, hapo utaleta majibu mujaarab
Caf pia wametoa tuzo kwa mashabiki wa timu fulani kua ndo mashabiki bora kuliko mashabiki wengine wa timu 7 bora africa, itakuwa wewe ambae hata 20 bora haumo?Bodi ya ligi isha toa takwimu timu ipi inaongoza kwa mapato uwanjani na idadi ya mashabiki kama una takwimu zako binafisi weka hapa
Takwimu za kupika hivi hujui kwamba mo na AZAM ni washindani kibiashara ulitaka bakhresa ampe credit MO wakati yeye mwenyewe anatangaza biashara zake takwimu za kupika kama mlivyoambiwa yanga ni wa 5 Africa mkakubali mmempita mpaka mamelody sundowns na usm alger.Twakimu za bodi ya ligi zinasemaje kuhusu idadi ya mahudhurio viwanjani? au una takwimu zako binafisi
Ha ha haMashabiki bado hawajiamini, wakianza kupata matokeo, watajaza uwanja.
Yaani uhakika al ahly kaja kafa 2, kaja wydad kafa 3, mechi inayofata watafurika uwanjani
Wale sio wauza machungwa kama*MBUMBUMBU*Kwa kiwango cha Yanga na muendelezo wa matokeo mazuri ya team yao nilitegemea jana wajae ila imekuwa tofauti na matarajio licha ya majigambo na mwenendo mzuri ila uwanja ulikuwa nusu hakukuwa na sold out.
Ni kweli yanga wanajielewa sana ndio maana wameng'oa viti taifa.Wale sio wauza machungwa kama*MBUMBUMBU*
kwamba ikifika saa sita wanafunika matenga.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Uli ishia darasa la ngapi wewe? Azam anahusika nini na bodi ya ligi?Takwimu za kupika hivi hujui kwamba mo na AZAM ni washindani kibiashara ulitaka bakhresa ampe credit MO wakati yeye mwenyewe anatangaza biashara zake takwimu za kupika kama mlivyoambiwa yanga ni wa 5 Africa mkakubali mmempita mpaka mamelody sundowns na usm alger.
Low IQ inakusumbua una amini mashabiki wa [emoji2772] ni bora kuliko mashabiki wa Al Ahly na Wydad?Caf pia wametoa tuzo kwa mashabiki wa timu fulani kua ndo mashabiki bora kuliko mashabiki wengine wa timu 7 bora africa, itakuwa wewe ambae hata 20 bora haumo?
Kama ambavyo wewe unaamini mashabiki wa utombile ni bora kuliko wa mnyama?Low IQ inakusumbua una amini mashabiki wa [emoji2772] ni bora kuliko mashabiki wa Al Ahly na Wydad?
mtu asie na akili hua ana kimbilia kwenye matusiKama ambavyo wewe unaamini mashabiki wa utombile ni bora kuliko wa mnyama?
Sawa kilaza mwenzangu.mtu asie na akili hua ana kimbilia kwenye matusi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao Yanga hata nyuzi zao wakati wa mechi wanazikimbia sembuse kwenda uwanjani kukabiliana na kina Pecy Tau
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliHawana morale..ni wabwabwaji tuu mitandaoni...
Sija wahi kua mwenzakoSawa kilaza mwenzangu.
Kaukweke ulale sasa.Sija wahi kua mwenzako