hashim mwamba
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 1,018
- 1,105
Mkuu. Second half bado?Acha mbwembwe subiri second half
Wakata umeme leo mmekutana na 4 phaseTungemfunga Azam mngesema Yanga imemuogopa Simba.
haaAaaaaaKipigoooooooo
hali ngumu mkuu,tumekamatwa kila kona ILA jiandaeLeo wavimba macho hutawaona hata mmoja. Simba akitoa droo wanajazana hapa tunakosa hata nafasi ya kuandika. Leo wamepigwa ARBA hutawaona migongo wazi hata mmoja. Wameifunga Jamhuri tukasikia ohh tumetoa adhabu kali. Leo kipa wa Azam kipindi cha kwanza angeweza kwenda kunywa kahawa.Kipindi cha pili kadaka mara mbili. Kama sio huruma za refa ingekuwa KHAMSA. Nadhani sasa akili zitarudi na Kocha namwonea huruma kwani kufundisha FISI kupanda mti inatakiwa uwe na subira kweli kweli.
SiaminiHaaaaaaaa haa
haaAaaaaa
4-0
Shame YANGA
Mvimba macho upo?Wenzako wanaharisha. ARBA sio mchezo.hali ngumu mkuu,tumekamatwa kila kona ILA jiandae
ndioJukwaa la siasa kwa vile Yanga wanavaa jezi za ccm?