Yanga hoi kwa Azam, yasambaratishwa magoli manne bila majibu

Tungemfunga Azam mngesema Yanga imemuogopa Simba.
 
Kisago cha leo cha 4 o'clock hawatakaa waje wasahau, hili litimu misifa mingi bila mpango, asante Azam FC
 
hali ngumu mkuu,tumekamatwa kila kona ILA jiandae
 
Bwihi..! Bwihi..!

Tunawaambia siku zote nyinyi soka bado.. Mwafaaa..

demigod, Sibonike..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…