Yanga hujipa majina yanayowakera wao

kwani unaumia sana???????Ukiweka wewe kuna ubaya gani?????punguza miwasho ya harara na sabuni hii inaitwa KIBUDENGA MKANDAJIView attachment 2601063

Ni utaratibu tu wa kupashana habari mkuu kuwa ukinakili mahali unaweka chanzo...

Hakuna haja ya kuanza kutukanana maana hatuna kasumba ya kutukanana kwenye jukwaa la michezo...
 
Ni utaratibu tu wa kupashana habari mkuu kuwa ukinakili mahali unaweka chanzo...

Hakuna haja ya kuanza kutukanana maana hatuna kasumba ya kutukanana kwenye jukwaa la michezo...
Weka/bold tusi ulilotukanwa hapa.........itakuwa vema zaidi mkuu.....

Huu ni utani kama utani mwingine sasa inaonekana kama wewe umekuuma zaidi umeamua kutoka nje ya mada iliyopo mezani,
Utopolo mna shida sana
 
WAKANDWAJI AKA WAZEE WA KUKANDWA. Wamejipa wao wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…