Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
kwani unaumia sana???????Ukiweka wewe kuna ubaya gani?????punguza miwasho ya harara na sabuni hii inaitwa KIBUDENGA MKANDAJIView attachment 2601063
Ni utaratibu tu wa kupashana habari mkuu kuwa ukinakili mahali unaweka chanzo...
Hakuna haja ya kuanza kutukanana maana hatuna kasumba ya kutukanana kwenye jukwaa la michezo...