kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,899
Waslaam !
Jana timu ya Simba iliaga mashindano huko Zanzibar, kwa wapenzi wa simba tunaoelewa mpira hatulaumu sana kwani huo ndiyo mpira lakini pia kwa sababu za kiufundi tunajua kocha ni mpya na anatest mifumo na wachezaji wapya tofauti.
Tatizo ni taarifa ya kabla kabla ya mashindano ni vyema kutoa mpango wa klabu kwenye mashindano husika na si kukaa kimya mpaka matokeo tata yatokee ndipo waanze utetezi.
Mfano, kabla ya kwenda Zanzibar kama wangesema timu inaenda kushiriki mashindano lakini mpango ni kuunda kikosi chini ya kocha mpya na si ubingwa, sisi wapenzi wa timu wengi tungeelewa.
Sasa ona fedheha hizi za YANGA kwnye hii video hapa chini, huyu jamaa aliyevaa jezi za simba ni Yanga damu damu, ila alivaa jezi hizi baada ya matokeo na kuigiza hivyo, huu utani wapinzani mtambue si mzuri .
Jana timu ya Simba iliaga mashindano huko Zanzibar, kwa wapenzi wa simba tunaoelewa mpira hatulaumu sana kwani huo ndiyo mpira lakini pia kwa sababu za kiufundi tunajua kocha ni mpya na anatest mifumo na wachezaji wapya tofauti.
Tatizo ni taarifa ya kabla kabla ya mashindano ni vyema kutoa mpango wa klabu kwenye mashindano husika na si kukaa kimya mpaka matokeo tata yatokee ndipo waanze utetezi.
Mfano, kabla ya kwenda Zanzibar kama wangesema timu inaenda kushiriki mashindano lakini mpango ni kuunda kikosi chini ya kocha mpya na si ubingwa, sisi wapenzi wa timu wengi tungeelewa.
Sasa ona fedheha hizi za YANGA kwnye hii video hapa chini, huyu jamaa aliyevaa jezi za simba ni Yanga damu damu, ila alivaa jezi hizi baada ya matokeo na kuigiza hivyo, huu utani wapinzani mtambue si mzuri .