Yanga huu Ujinga na Upuuzi tuache. Watoto na Wajukuu wetu si watatushangaa?

Yanga huu Ujinga na Upuuzi tuache. Watoto na Wajukuu wetu si watatushangaa?

Watani kwa kweli wanasikitisha sana, yaaani Yanga amebaki mzee Akilimali tuu ndio mwenye akili, ingawaje wenyewe ndio wanamuona adui wao namba moja kichekesho kweli kweli.
 
Hivi ile yanga ya kuchapana bakora imeishia wapi maana sasa hivi kuna watu wanajifanya wana uchungu Wa timu kumbe wamezimiss pesa za Kanji.MTU keshasema hataki uongozi lakini bado kuna watu wanamng'ang'ania hawa wanahitaji watiwe mikwaju
 
manji alitaka kukodi team,na si kununua . kuna tofaut ya kununua na kukodi. na akina akili mali walisema wao hawapo tayari kukodisha team ya yanga kwa manji kama wanavyokodisha masufuria.

hili tuliweke sawa kwenye hansard.

Ebu tambueni ni kweli Yanga wanamlilia sana Manji ili awasaidie kuvuka hapa pia kujenga mfumo bora... hizi club ni kongwe lakini hazina kitu zaidi ya mtaji wa watu ambao hawana msaada ndani ya club pia hawajitambui

Ndio maana nasema ni lazima apatikane tajiri mmoja ambae atatumia pesa zake katika kujenga mfumo ilikurudisha imani kwa wanachama bcz kuandaa mfumo wenywe ni pesa sasa wanachama hawaoni mtu mwingine ambae anaweza kukopesha pesa
zake ili kusaidia kuijenga Yanga zaidi ya Manji.

Kumbukeni kwa sasa hata kama Club itapata viongozi wote bila ya kuwa na pesa hawezi kusaidia kitu. Club haitaji viongozi wote kawamilike inaitaji pesa ilikufanya mfumo ukamilike...

Ndio maana Unaona Azam ina mtu kwenye pesa then viongozi wanakuja baadaye... Singida ina mtu ambaye anapesa na ushawishi then club inaenda poa somehow...

Simba walimsumbua Mo kwa mlango wa nyuma then akaja na bei yake ya kununua Simba then wanachama bila ku evaluate kawa kubali bcz hawajui thamani ya club yao ingawa walitokea wakina Mzee kilomoni na wengine lakini kwa sababu walipata funzo kutoka kwa Yanga wakawazidi keti na kumpa club Mo na sasa matokeo wanayaona

Huku Yanga walikubali kumpa kwa mkataba Manji wakatokea Watu ambao hawepi maendeleo ya Yanga kawapinga na kuenda mahakamani hao ni wakina Akilimani na wenzie then Tajiri akagoma baada ya kuna pigamizi

Leo akitokea Tajiri anataka kuinunua Yanga na akiwa na pesa utaona wanachama wanamuacha Manji ana kwenda kwa huyo Tajiri bcz wanajua atawasaidia kuibeba. Leo mnataka Viongozi then watu wenyewe wa kuchanguliwa ni wakina Tarimba, Akilimali ambao ambao hawana uwezo wa kutoa pesa kwa ajili ya club. Mfano wakati club inaangaika kumsajili Yondani waliombwa mchango then Tarimba alitoa 2m tuuh lakini kwenye media ajitamba kuwa amemsajili Kelvin .
 
manji alitaka kukodi team,na si kununua . kuna tofaut ya kununua na kukodi. na akina akili mali walisema wao hawapo tayari kukodisha team ya yanga kwa manji kama wanavyokodisha masufuria.

hili tuliweke sawa kwenye hansard.

Na kwasababu ya historia ya Club na ukongwe wake si busara kuiuza hii club kwa mtu mmoja... ndio maana Manji akaja na wazo la kuikodi ili kama hafanyi vizuri ni bora kuirudisha kwa wanachama kukodiwa ni zuri zaidi kuliko kuuzwa... Yule mzee Akilimali anachumia tumbo ndio maana hataki maendeleo ya club
 
Na kwasababu ya historia ya Club na ukongwe wake si busara kuiuza hii club kwa mtu mmoja... ndio maana Manji akaja na wazo la kuikodi ili kama hafanyi vizuri ni bora kuirudisha kwa wanachama kukodiwa ni zuri zaidi kuliko kuuzwa... Yule mzee Akilimali anachumia tumbo ndio maana hataki maendeleo ya club
Unaikodi klabu na kuifanya kampuni inayoitwa Yanga Yetu Co. LTD.
Ukiirudisha itabadilisha jina?
 
Nmesikitika sana na tabia za kipuuzi na kijinga walizoonesha wanayanga.huu ni ubwege. Manji hataki kuwa mwenyekiti.nyie wanaume mnawezaje lazimisha kuwa ninyi bado mnamtambua na mnalazimisha?

Nyie mna akili kweli?njaa hii njaa gani?nyie ndo nmeona mnasababisha kuwe na wanaume siyo riziki.kweli huu siyo uriziki na utimamu wa kiume. Ni sawa na mwanamke ambaye amepewa talaka anasema yeye haondoki hata iweje...analia na kushika miguu abaki hata awe analala uani. Badala ya kukaa na kujipanga mnamlilia manji?nyie mna akili kweli?

Usiamini ya kuambiwa mpaka uone mwenyewe.
Hilo jambo la kulia lia kwa Manji linakera sana,baada ya kupenya penya kuuliza why ivyo kuna mtu akaniambia Manji mwenyewe ndo anatengeneza hao watu na anaitaka team but kuna mbinu anajipanga nazo (not sure)
 
Inawezekana. Manji ni Mjanja sana. Anajua manufaa ya team ni makubwa sema anataka kuipata kihuni. Anachofanya ni kuwatengenezea uhitaji mkubwa. Ili wakimfuata awapige kirahisi sana maana hawataweza kuhoji vizuria.


Hilo jambo la kulia lia kwa Manji linakera sana,baada ya kupenya penya kuuliza why ivyo kuna mtu akaniambia Manji mwenyewe ndo anatengeneza hao watu na anaitaka team but kuna mbinu anajipanga nazo (not sure)
 
Daah ila siamini kama hakuna watu wa kuichukua Yanga, nahisi Manji mwenyewe ndo anawatengeneza hao wajinga cos mara nyingi amekuwa akifanya ivyo
Anawatengeneza ili apate faida gani, angekuwa anataka uenyekiti si angegombea?
 
Inawezekana. Manji ni Mjanja sana. Anajua manufaa ya team ni makubwa sema anataka kuipata kihuni. Anachofanya ni kuwatengenezea uhitaji mkubwa. Ili wakimfuata awapige kirahisi sana maana hawataweza kuhoji vizuria.
Ndiyo hata mm nalipoakmbiwa ivyo nikaona inasound cos sioni sababu ya msingi kumlilia mtu asiyetaka jambo
 
Inawezekana. Manji ni Mjanja sana. Anajua manufaa ya team ni makubwa sema anataka kuipata kihuni. Anachofanya ni kuwatengenezea uhitaji mkubwa. Ili wakimfuata awapige kirahisi sana maana hawataweza kuhoji vizuria.
Hapa ndipo msingi wa hoja ulipo ,na hili niliwahi kumwambia mh mbunge wa chalinze juu ya huyu mhindi
 
wewe hujui kabisa faida ya kuwa na yanga kiuchumi . yanga ni biashara kubwa sana ukiwa tu na mtaji sahihi ambao manji anao. unadhani yanga ina wanachama wangapi,mashabiki wangapi?wapenzi ? unadhani jina la yanga ni dogo kibiashara? usidhani manji alikuwa anatoa tu pesa zake yeye haingiizi kitu. na mitanzania mingi miswahili inafikiria hivyo kuwa manji alikuwa anatoa tu pesa sababu ana mapenzi na yanga. asikudanganye mtu ile ni fursa ambayo alitaka kujijengea pia kisiasa na kiuchumi. kisiasa imeshashindikana labda ibaki sasa kiuchumi.

Anawatengeneza ili apate faida gani, angekuwa anataka uenyekiti si angegombea?
 
Back
Top Bottom