Yanga ichukue tahadhari kwa Marumo Gallants

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Achana na habari ya kushuka daraja, lakini performance ya hawa Gallants ni moto, wako vizuri sana. Kama kuna watu weshuhudia game ya jana kati ya Pyramid dhidi ya Al Ahly wataona moto wa pyramid ulivyo. Binafsi niliona kama pyramid pengine wameshuka kiwango hadi kupelekea kutolewa na Marumo Gallants lakini ukweli ni kwamba ubora wa Gallants upo juu haswa.

Yanga wajitajidi waimalize hii mechi hapa hapa Dar, hii timu sio ya mchezo mchezo pamoja na kushuka daraja huko kwenye ligi yao, wasije kuidharau kisa inashuka daraja
 
Hi mechi inapima ubora wa ligi mbili kati ya ligi yetu (Tanzania) na( africa kusini)
 
Asubuhi hii badala ya kuwaza hela utapata wapi unawaza maujinga. Kula chuma hicho kutoka kwa Mgogo.

 
Hao Marumo ni vibonde Yanga washindwe wenyewe tu kuwafumua
 
Kati ya makosa yote ambayo benchi ka ufundi la Yanga hakitakiwi kufanya ni:-
1. Kumuweka nje mchezaji kama Ibrahimu Bacca! Mpaka kesho naamini hata ile mechi na simba tulifungwa kwa sababu hii.

2. Kuwaanzisha wachezaji wa majaribio kama akina Warid Mzize!! Aisee tutatolewa mapema sana.
 
Kila Mda yanga wajipange mbona hamuanzish uzi kuwapa Taarfa Marumo kua wajipange wanapokuja kucheza na yanga?
 
Coz wanashika mkia kule kwao.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Hao Gallants imetoa Pyramid, je Pyramid wanashika nafasi ya ngapi kwenye ligi ya Misri? Unajua kama pia Pyramid imecheza fainali ya Egypt FA cup jana dhidi ya Al Ahly? Kipimo unachotumia sio sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…