fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Nawashauri hawa viongozi wetu wa Yanga wajitahidi juu chini wajenge uwanja wetu, ni uwekezaji mzuri sana.
Jambo hili walipe kipaumbele.
Jambo hili walipe kipaumbele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja.. Watu wanaongea nadharia tuYanga na Simba haziwezi kujenga uwanja mdogo kama wa Azam Complex wa watu 6,000, inabidi wajenge uwanja wa kuingiza mashabiki kama 20,000-30,000. Kumaintain uwanja wa size hiyo kwa maana ya usafi na ulinzi ambavyo inabidi vifanyike hata siku zisizo na mechi, pamoja na matengenezo ya mara kwa mara si jambo dogo. Inawezekana lakini inabidi kujipanga hasa.
Gharama za kumiliki kiwanja ukilinganisha na urahisi uliopo wa kutumia uwanja wa Mkapa inafanya klabu hizi zione ugumu kubeba jukumu hili.
We mbuzi kweli umeambiwa mambo ya Yanga unahamisha mada badala ya kushauri!Mwamedi .....aliwachangisha Makolo....hatuoni kitu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yanga ina mashabiki zaidi ya 30,000,000 kila shabiki akitoa 10,000 hiyo ni Trillion 3, tuainunua Simba tunaibadili inakua timu ya cricket
Kwanini wajenge 20,000, wastani wa mashabiki kwa mechi moja ni 6,000 mpaka 7,000 ukiachana na mechi za mahasimu. By the way kwenye ujenzi structure inaweza kujengwa na kuweka provision ya kuextend miaka ya baadae, ni mipango tuYanga na Simba haziwezi kujenga uwanja mdogo kama wa Azam Complex wa watu 6,000, inabidi wajenge uwanja wa kuingiza mashabiki kama 20,000-30,000. Kumaintain uwanja wa size hiyo kwa maana ya usafi na ulinzi ambavyo inabidi vifanyike hata siku zisizo na mechi, pamoja na matengenezo ya mara kwa mara si jambo dogo. Inawezekana lakini inabidi kujipanga hasa.
Gharama za kumiliki kiwanja ukilinganisha na urahisi uliopo wa kutumia uwanja wa Mkapa inafanya klabu hizi zione ugumu kubeba jukumu hili.
Hesabu za motivational speakers hizi wanakwambia ukalime matikiti uwe bilionea.Yanga ina mashabiki zaidi ya 30,000,000 kila shabiki akitoa 10,000 hiyo ni Trillion 3, tuainunua Simba tunaibadili inakua timu ya cricket
Wakijenga wa watu 20,000-30,000 uwanja unaweza kutumika hata katika mechi kubwa za ligi au kimataifa ukiachana na debi. Najua utasema mechi hizo ziende kwa Mkapa kwa sababu una uwezo wa kubeba zaidi ila nitakwambia kwa nini watumie viwanja vyao hata katika mechi hizo.Kwanini wajenge 20,000, wastani wa mashabiki kwa mechi moja ni 6,000 mpaka 7,000 ukiachana na mechi za mahasimu. By the way kwenye ujenzi structure inaweza kujengwa na kuweka provision ya kuextend miaka ya baadae, ni mipango tu
Tunainunua simba inakua timu ya netballHesabu za motivational speakers hizi wanakwambia ukalime matikiti uwe bilionea.