rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Mulamu Ng'ambi alihojiwa efm na alikuwa mjumbe wa kamati ya kubadilisha mfumo na aliulizwa kama wakati wanafanya mchakato walikuwa wanajua thamani ya Simba akasema hawakujua.Baada ya Mo kutoa offer ya bil 20 kununua hisa 51%, watu wa simba walipinga wakasema ni hela ndogo haiendani na thaman halisi ya simba.
Mo alikua akimjibu mwandishi aksema" bilion 20 naweza kununua bank" nenda pale simba wakuoneshe balance sheet yao thaman ni biliom 3.8... sasa nikuulize ww walipoombwa balance sheet ili muwekezaji ajue thaman yao hizo documetns ziliandikwa na nani? Maana unasema walikua hawajui.
Kwahyo simba ilijua Muwekezaji akija watamwambia tu simba ina thaman ya bilion 100 kwa mdomo na yeye atakuabali? Hakuna muwekezaji wa hivo duniani.
Kuhusu kwann Mo hakubadili offer baada ya serikali kusema simba na yanga wanatakiwa kuuza hisa zisizozidi 49% kwa muwekezaji hayo yalikua ni maamuzi na Mo mwenyewe ndo mwenye pesa.
Hivi unafahamu thamani ya timu inapatikanaje? Unajua kuhusu fanbase? Pan Wana jengo pale kariakoo lakini fanbase ya Pan ikoje ndio maana mchakato ulitakiwa uhusishe wataalamu wakiwemo wa soko la hisa na kampuni za kihasibu zenye uzoefu wa kufanya mchakato inayofanana na hiyo