Yanga ikifanya hivi inatoboa kwenye robo fainali mapema tu

Yanga ikifanya hivi inatoboa kwenye robo fainali mapema tu

Raundi ya tatu Yanga akichukua point moja kwa Medeama halafu Belouzdad akifa kwa Ahly ugenini kundi litakuwa hivi...

MSIMAMO
1. Al Ahly points (7)
2. Medeama points (4)
3. CR Belouzdad points (3)
4. Young Africa points (2)

Raundi ya nne yanga watakuwa nyumbani Benjamin Mkapa Dar es Salaam na Medeama na Al Ahly atakuwa ugenini na Belouzdad.

Matokeo ambayo yapo ktk uwezekano mkubwa ni Yanga kuondoka na ushindi na Belouzdad, kushika bomba mpaka mwisho na kuambulia sare na Ahly. Hivyo kundi litakuwa hivi.

MSIMAMO:
1. Al Ahly points (8)
2. Young Africa points (5)
3. CR Belouzdad points (4)
4. Madeama points (4)

Raundi ya tano Yanga anaikaribisha Belouzdad Uwanja wa Benjamini Mkapa Dar es Salaam. Kisasi ni lazima, hivyo lazima Belouzdad afe kwa mkapa watumie mbinu zozote Belouzdad AFE kwa mkapa na Kule Ghana Medeama lazima afe kwa Al Ahly maana kama Yanga watakuwa wamechukua tatu kama tulivyoona hapo juu, Al Ahly anazikosaje sasa!!

Raundi ya mwisho Yanga hata kama atakufa kwa Al Ahly ugenini na Belouzdad akamkanda Medeama nyumbani bado haitabadilisha msimamo. Hivyo kundi litamalizika hivi:-

MSIMAMO:
1. Al Ahly points (11)
2. Young Africa points (8)
3. CR Belouzdad points (7)
4. Madeama points (4)

Hapo wananchi watakuwa wamepita.

Cha msingi kocha Gamondi azingatie namna ya kuwaanzisha wachezaji ambao ataona wanafaa kuanza na super sub aziingize pale panapofaa na wajitume, tukiacha ushabiki tukaingia kwenye facts Yanga inauwezo ni tacts ndogo ndogo zakumalizia kwa adui ndicho kinachosumbua hii timu.
Piga HESABU upya,hizo zinaelekea kugoma
 
Raundi ya tatu Yanga akichukua point moja kwa Medeama halafu Belouzdad akifa kwa Ahly ugenini kundi litakuwa hivi...

MSIMAMO
1. Al Ahly points (7)
2. Medeama points (4)
3. CR Belouzdad points (3)
4. Young Africa points (2)

Raundi ya nne yanga watakuwa nyumbani Benjamin Mkapa Dar es Salaam na Medeama na Al Ahly atakuwa ugenini na Belouzdad.

Matokeo ambayo yapo ktk uwezekano mkubwa ni Yanga kuondoka na ushindi na Belouzdad, kushika bomba mpaka mwisho na kuambulia sare na Ahly. Hivyo kundi litakuwa hivi.

MSIMAMO:
1. Al Ahly points (8)
2. Young Africa points (5)
3. CR Belouzdad points (4)
4. Madeama points (4)

Raundi ya tano Yanga anaikaribisha Belouzdad Uwanja wa Benjamini Mkapa Dar es Salaam. Kisasi ni lazima, hivyo lazima Belouzdad afe kwa mkapa watumie mbinu zozote Belouzdad AFE kwa mkapa na Kule Ghana Medeama lazima afe kwa Al Ahly maana kama Yanga watakuwa wamechukua tatu kama tulivyoona hapo juu, Al Ahly anazikosaje sasa!!

Raundi ya mwisho Yanga hata kama atakufa kwa Al Ahly ugenini na Belouzdad akamkanda Medeama nyumbani bado haitabadilisha msimamo. Hivyo kundi litamalizika hivi:-

MSIMAMO:
1. Al Ahly points (11)
2. Young Africa points (8)
3. CR Belouzdad points (7)
4. Madeama points (4)

Hapo wananchi watakuwa wamepita.

Cha msingi kocha Gamondi azingatie namna ya kuwaanzisha wachezaji ambao ataona wanafaa kuanza na super sub aziingize pale panapofaa na wajitume, tukiacha ushabiki tukaingia kwenye facts Yanga inauwezo ni tacts ndogo ndogo zakumalizia kwa adui ndicho kinachosumbua hii timu.
Anza upya ahly vs belouz ni 0-0 twende kazi
 
Mkuu sijasema mabaya ila belouzdad kachua point nyumbani Kwa ahly ,tunasubiri kuona kwake atafanya Nini akifanikiwa kumpiga Ahly tunarudi kupiga hesabu
Hili kundi bwana Gamondi anezembea mwenyewe! Sijui kwa nini siku hizi hajui kufanya sub! Pacomé alifika mahali akachoka lakini hapumzishwi! Halafu leo Mda alitakiwa awemo uwanjani!
 
Matokeo ya Alhaly 0 vs 0 Belouzadad bila ushabiki ni mabaya kwa Yanga na inaonesha watakao pita ndiyo hawahawa
 
Matokeo ya Alhaly 0 vs 0 Belouzadad bila ushabiki ni mabaya kwa Yanga na inaonesha watakao pita ndiyo hawahawa
Bado mkuu jamaa ana nafasi usimbeze! Mpira huu sasa hautabiriki! Ulikuwa unaamini kwamba Al Ahly anaweza kushindwa kumfunga CR Belouizdad nyumbani?
 
HATIMAE MAMBO YALIKUWA POA SANA KAMA ILIVYO JAPO KIDOGO MPISHANO ULIKUWEPO KIDOGO
 
Back
Top Bottom