Yanga ikifungwa Jumamosi natembea bila nguo

Yanga ikifungwa Jumamosi natembea bila nguo

Ile ilikuwa Jumamosi, nasubiri wa kuahidi Jumapili hii[emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23]
 
Akiba ya vitendo na maneno ni muhimu kwako ee mtoa bandiko hili.
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
UKIWA UNATOKEA MAENEO GANI ILI NIWE NYUMA YAKO....
 
2017 hadi 2018 mwendo ni kama ule! Duh, mwenye uzi hana hamu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Kwa maandalizi ya uhakika wanayofanya Yanga huko kambini na hali ya taharuki inayoendelea katika kambi ya wamchangani huko visiwani nachelea kusema simba hatoweza kupata sare sahau kuhusu kumfunga yanga hivyo basi simba akishinda jmosi nahaidi kutembea bila nguo kwanzia hapa tandale mpaka madale.
Anza kutembea uchi maana YANGA keshafungwa 1
 
Back
Top Bottom