Yanga ikifungwa najisikia raaaaha saaana!

Mnaitamani CAFCL ila ndo ivo hadhi yenu ni ya kushiriki mashindano ya akina mama
Hivi nani kavaa beji hyo mara nyingi...unajua unachekesha sana...yani ww baada ya miaka 19 hivi vi msimu viwili umechetuka kama umekua kungwi mzee..kumbe mwali kigego...hahahaaa
 
Hivi nani kavaa beji hyo mara nyingi...unajua unachekesha sana...yani ww baada ya miaka 19 hivi vi msimu viwili umechetuka kama umekua kungwi mzee..kumbe mwali kigego...hahahaaa
Hapo futa andika mashindano ya akina mama πŸ˜†
 

Attachments

  • 1732645895736.jpg
    334.9 KB · Views: 1
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Kesho akina mama wanajirusha
Ukiwepo na ww kungwi wao uliebobea...ukiwapa moja mbili tatu ya ulivyokua unashiriki ili kufika fainale...au umejisahau kama ulifika fainali ukalala na shanga zao kabisa...
 
Ukiwepo na ww kungwi wao uliebobea...ukiwapa moja mbili tatu ya ulivyokua unashiriki ili kufika fainale...au umejisahau kama ulifika fainali ukalala na shanga zao kabisa...
Kesho ndo naenda kumchafua mrembo
Mashindano ya akina mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…