Yanga ikifuzu robo fainali leo, basi naitabiria kufika fainali ya CAFCL

Yanga ikifuzu robo fainali leo, basi naitabiria kufika fainali ya CAFCL

ikitokea tu yanga ikatinga robo final ya CAFCL basi na final yenyewe ipo mikononi mwao,kikwazo kikubwa ni dhidi ya mc algers leo. yanga kufanya vibaya CAFCL mechi za mwanzoni ulikuwa ni kipindi cha mpito sasa tumerudi kulekule kuwa yanga ni miongoni mwa timu nne zinazopigania ubingwa CAFCL msimu huu. kila lenye kheri leo YOUNG AFRICANS SC leo.
Kila laheri kwenu ...
Utopolo 18.jpg
 
ikitokea tu yanga ikatinga robo final ya CAFCL basi na final yenyewe ipo mikononi mwao,kikwazo kikubwa ni dhidi ya mc algers leo. yanga kufanya vibaya CAFCL mechi za mwanzoni ulikuwa ni kipindi cha mpito sasa tumerudi kulekule kuwa yanga ni miongoni mwa timu nne zinazopigania ubingwa CAFCL msimu huu. kila lenye kheri leo YOUNG AFRICANS SC leo.
Daima mbele nyuma mwiko.
 
Apocalypse ukitimia utaheshimika lakini usipotimia,maisha baada tukio hutakaa kwa amani.Kumbuka mwaka 2010 hayati sheikh Yahaya alitoa unabii fulani na kwa kuwa haukutimia tulimwona mzee wetu kama kituko fulani.
 
Back
Top Bottom