shamariwa chool
JF-Expert Member
- Dec 14, 2024
- 265
- 248
Mtabilie timu yake lazima ifungwee. Mzee wa kutabiliπππππkikubwa makolo mmeumia mengine kamwambie mkeo.
Kila laheri kwenu ...ikitokea tu yanga ikatinga robo final ya CAFCL basi na final yenyewe ipo mikononi mwao,kikwazo kikubwa ni dhidi ya mc algers leo. yanga kufanya vibaya CAFCL mechi za mwanzoni ulikuwa ni kipindi cha mpito sasa tumerudi kulekule kuwa yanga ni miongoni mwa timu nne zinazopigania ubingwa CAFCL msimu huu. kila lenye kheri leo YOUNG AFRICANS SC leo.
Hivi huko umbumbumbuni kuna mwenye unafuu wa akili kweli???MCAlgers atachomoa goli dakika za jioni na ndo utakuwa mwisho wa Utopolo
Hata sodo sio hivyoLeo tutaliona vibe la mashabiki taifa,kesho ni butuabutua kimyakimya kama wezi.
Daima mbele nyuma mwiko.ikitokea tu yanga ikatinga robo final ya CAFCL basi na final yenyewe ipo mikononi mwao,kikwazo kikubwa ni dhidi ya mc algers leo. yanga kufanya vibaya CAFCL mechi za mwanzoni ulikuwa ni kipindi cha mpito sasa tumerudi kulekule kuwa yanga ni miongoni mwa timu nne zinazopigania ubingwa CAFCL msimu huu. kila lenye kheri leo YOUNG AFRICANS SC leo.
Hata sodo cup linakuaga na mashabiki
Ushindwe na ulegee kwa jina la yesuLolote baya liwapate nyuma kuna mwiko