Yanga ilikuwa na malengo makubwa sana na Kombe la Mapinduzi

Sometimes inabidi kuwa wakali ili kuimarisha jukwaa.
Unakubali kuwa wachezaji karibu kumi wa kikosi cha kwanza hawakuwapo Zanzibar?
kama ni kweli, basi kutimiza suala hilo si kazi rahisi na wameshindwa ingawa walikuwa na nia hiyo.
na sisi washabiki tumeridhia timu yetu kushindwa na sababu zina make sense.
That's all.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…