Yanga ilimtuma Ally Kamwe kumtukana Mgunda?

Yanga ilimtuma Ally Kamwe kumtukana Mgunda?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Maneno machafu aliyotoa Msemaji wa Yanga kila mtu aliyasikia. Wanasoka na wana habari wamekemea na kushangazwa na kauli zile chafu.

Lakini mimi naenda mbali zaidi. Katika hali ya busara na kuonyeshwa uungwana taasisi inapaswa ama kuomba radhi au kujitenga na ujinga wa mwakilishi wake?

Lakini Yanga haijafanya hivyo mpaka sasa. Najenga hisia kwamba Yanga ilimtuma Ally atukane. Huwezi kushangaa kwa sababu Yanga wamekusanya watukanaji na kuwapa vyeo vya usemaji wa klabu. Wengine wamefungiwa na wengine kutozwa faini.
 
Leo kaanza kumpa kazi Marara kuwa mratibu wa safari kwa Wachambuzi wa michezo wanaitaka kwenda Algeria na Air Tanzania.

Na anajua kabisa manara amefungiwa.

Yanga msitegemee ushindi algeria mnazidi kujiharibia.

Kamwe lazima afungiwe kifungo cha miezi mitatu, kwa kauli zake za ajabu ajabu.
 
20230530_154527.jpg
 
Leo kaanza KUMPA kazi Marara kuwa mratibu WA safari kwa Wachambuzi WA MICHEZO wanaitaka kwenda Algeria na Air Tanzania.
NA ANAJUA KABISA MANARA AMEFUNGIWA.

YANGA MSITEGEMEE USHINDI ALGERIA MNAZIDI KUJIHARIBIA.

KAMWE LAZIMA AFUNGIWE KIFUNGO CHA MIEZI MITATU, KWA KAULI ZAKE ZA AJABU AJABU.
Kama hayo maneno yenu ndio yanazuia tusishinde mechi hata makundi tusingefika
 
Cha kushangaza mgunda alitukanwa kwenye platform rasmi ya club lakini msamaha umeombwa kupitia social media account binafsi
 
Hao wanahabari/wahamasishaji huwa ni viherehere vyao...

Na watu chanzo cha hivi viherehere ni Jerry Muro na mwenziye Haji Manara, haya ni mazao ya hao watu...
 
Wakati manara anawatukana watu wa Yanga je alitumwa na uongozi wa simba?
 
Back
Top Bottom