OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Aombe radhi hadharani, az amfate muhusika live ili umma ujue kuwa kaomba radhi.Mbona hii kitu mnataka kuikuza sana kama kasha omba radhi si inatosha mnataka iweje?
Kama hayo maneno yenu ndio yanazuia tusishinde mechi hata makundi tusingefikaLeo kaanza KUMPA kazi Marara kuwa mratibu WA safari kwa Wachambuzi WA MICHEZO wanaitaka kwenda Algeria na Air Tanzania.
NA ANAJUA KABISA MANARA AMEFUNGIWA.
YANGA MSITEGEMEE USHINDI ALGERIA MNAZIDI KUJIHARIBIA.
KAMWE LAZIMA AFUNGIWE KIFUNGO CHA MIEZI MITATU, KWA KAULI ZAKE ZA AJABU AJABU.
Huku ndio wamewekeza nguvu zao
Ili iweje?Aombe radhi hadharani, az amfate muhusika live ili umma ujue kuwa kaomba radhi.
Ili asamehewee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ili iweje?
Laana inatoka kwa wazazi pekee hao wengine ubaya, ubaya tuIli asamehewee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana akafukuzwaWakati manara anawatukana watu wa Yanga je alitumwa na uongozi wa simba?
hivi wewe ni wa kike?Ili iweje?
Unataka kuolewa?hivi wewe ni wa kike?