Soso J
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 1,976
- 1,223
Kwanza naipongeza timu yangu ya Jangwani, lakini kubwa kuliko yote kwa mechi ya leo.
Mwamuzi toka Kigoma kaiharibu sana mechi ya leo!
Kiukweli aliharibu mechi baada ya maamuzi kuonekana kupendelea upande mmoja wa Timu yangu wa Jangwani.
Naomba kuwasilisha.
Mwamuzi toka Kigoma kaiharibu sana mechi ya leo!
Kiukweli aliharibu mechi baada ya maamuzi kuonekana kupendelea upande mmoja wa Timu yangu wa Jangwani.
Naomba kuwasilisha.