MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,304
Hakika Yanga wana haki ya kushangilia na kufurahi kucheza fainal ya mashindano ya kombe la shirikisho kwani sasa yanga ina miaka 88 au siku 32250 toka ianzishwe.
Ni miaka mingi sana kwa klabu kama Yanga kutokuwa na mafanikio kimataifa tofauti na wenye nchi Simba ya Tanzania ambayo ilicheza fainal ya caf mwaka 1993 leo Yanga baada ya miaka 30 toka Simba icheze ndio Yanga inacheza.
Watani shangilie sana ikibidi zitembezeni zile medali mikoani na pia zipelekeni bungeni.
Ni miaka mingi sana kwa klabu kama Yanga kutokuwa na mafanikio kimataifa tofauti na wenye nchi Simba ya Tanzania ambayo ilicheza fainal ya caf mwaka 1993 leo Yanga baada ya miaka 30 toka Simba icheze ndio Yanga inacheza.
Watani shangilie sana ikibidi zitembezeni zile medali mikoani na pia zipelekeni bungeni.