Kumekuwa na posts na nyuzi za kujifariji kuwa matokeo ya kwenye derby haihusiani na ubora wa timu kwamba hata timu bora huwa inafungwa. Lakini nawakumbusha tu kuwa kwenye hii derby underdog alikuwa ni yanga.
Makampuni yote ya kubashiri waliiweka yanga ndio underdog.
Kwa hiyo yanga imepata kipimo sahihi Kwa ajili ya mechi ya shirikisho hivyo wakirekebisha makosa waliofanya watasonga mbele zaidi.
Bahati mbaya Simba haijapata kipimo sahihi Sana maana wameifunga timu dhaifu hivyo itabidi watumie mechi za nyuma za akina Al ahly ili kuikabili Wydad.
Makampuni yote ya kubashiri waliiweka yanga ndio underdog.
Kwa hiyo yanga imepata kipimo sahihi Kwa ajili ya mechi ya shirikisho hivyo wakirekebisha makosa waliofanya watasonga mbele zaidi.
Bahati mbaya Simba haijapata kipimo sahihi Sana maana wameifunga timu dhaifu hivyo itabidi watumie mechi za nyuma za akina Al ahly ili kuikabili Wydad.