Yanga imejiandaa kumaliza mechi Dar es Salaam

Yanga imejiandaa kumaliza mechi Dar es Salaam

Parade itarudiwa?
Parede ya ubingwa wa NBC tu iliishtua Africa, sipati picha wakibeba kombe la CAF umati utakavyo furika. Hiyo Parede itakayo fanyika tusishangae ikafanyiwa live coverage na vyombo vikubwa vya habari duniani mana itakuwa kubwa mno. Let's hope Yanga watachukua ubingwa kwa sababu hii itaweza kuwa mwanzo mpya wa uwekezaji mkubwa kwenye ligi yetu
 
Kuna mtu kanidokeza kuhusu huu mpango wa mechi ya Yanga na USM Alger

Mpira wa Africa hata uwe na Quality Players lazima ucheze na mechi nje ya uwanja ili utwae mataji .

Quality Players +Mbinu nje ya uwanja=Mataji ya Caf

CEO wa Yanga ana uzoefu na hizi mambo toka yupo Mazembe ,

Yanga imepata Marefa watatoka Congo, Hawa Marefa tayari watawasili Dar es Salaam kesho jioni ,kwa Marefa Hawa wacongo ambao watachezesha mechi ambayo imejaa ndugu zao kina mayere ,n.k pamoja na posho watakayopewa kusaidia upatikanaji wa Goli ,
Siyo kweli, hapo umedanganya.
Yanga tupo bora sana msimu huu na tuna uwezekano mkuwa wa kuchukua kombe la CAF Shirikisho kutokana na ubora wa timu yetu wala si vinginevyo. Naona unaumia na unakufa kiume.

YANGA daima mbele
 
Parede ya ubingwa wa NBC tu iliishtua Africa, sipati picha wakibeba kombe la CAF umati utakavyo furika. Hiyo Parede itakayo fanyika tusishangae ikafanyiwa live coverage na vyombo vikubwa vya habari duniani mana itakuwa kubwa mno. Let's hope Yanga watachukua ubingwa kwa sababu hii itaweza kuwa mwanzo mpya wa uwekezaji mkubwa kwenye ligi yetu
Watazunguka nchi nzima
 
akajua mpinzani anayekuja atakuwa pyramid, Mipango ikawa Pyramid anapigwaje kwa mkapa?

Hivo Umeme kukata mechi ya Rivers pale makapa stadium ilikuwa Ni mipango ili mechi na Pyramid ,
Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa Yanga hawakujua timu watakayocheza nayo hadi siku wameingia uwanjani ndiyo wakakutana na Rivers? Halafu unajua pyramid alitolewa na nani?
Halafu hixo taa ilikua zikizima wachezaji wa Yanga na mashabiki ndiyo wangekua wanaona mwanga na mpira halafu Pyramid pekee ndiyo wangeona giza?
 
Hivi watu mnawezaje kujaza upumbavu wote huu kichwani? Yan unaubeba halafu unakuja kuuaminisha kwa Great Thinker ukidhani wote mbumbumbu. Poleni sana
 
Nani kawadanganya kuwa waarabu hushinda usiku tu? Mliona morocco alichokuwa anafanya?

Nawatakia kila la kheri yanga. Waondoe mentality ya kushinda mechi za nyumbani tu kama simba. Washinde nyumbani na ugenini
Washinde mara ngapi? Kuna kitu gani special kwenye hii mechi hata yanga tusishinde!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Washinde mara ngapi? Kuna kitu gani special kwenye hii mechi hata yanga tusishinde!
Simba na big bullets, Simba alishinda nje ndani

Simba na die Agosto, Simba alishinda nje ndani

Simba na vipers Simba alishinda nje ndani

Timu hizi aizozishindansimba nje ndani ndizo level moja na mzembe ya SASA, Marumo, rivers na Africain

Ukikutana na giant wa mpira kama alhilal utatusimulia kitakachokupata ukitaka kuleta za kushinda kokote hapo hujakutana na ahly Esperance, wydad, raja, mamelod, hawa watano hata ukiwashinda kwako jipongeze
 
Kuna mtu kanidokeza kuhusu huu mpango wa mechi ya Yanga na USM Alger

Mpira wa Africa hata uwe na Quality Players lazima ucheze na mechi nje ya uwanja ili utwae mataji .

Quality Players +Mbinu nje ya uwanja=Mataji ya Caf

CEO wa Yanga ana uzoefu na hizi mambo toka yupo Mazembe ,

Yanga imepata Marefa watatoka Congo, Hawa Marefa tayari watawasili Dar es Salaam kesho jioni ,kwa Marefa Hawa wacongo ambao watachezesha mechi ambayo imejaa ndugu zao kina mayere ,n.k pamoja na posho watakayopewa kusaidia upatikanaji wa Goli ,

Ili refa akutafutie mazingira ya kukubeba unatakiwa uwe na Quality player wakurahisisha hiyo kazi, Yanga wanayo tayari , Mtu Kama Morrison Ni rahisi kutengeneza penalty, ,iwapo Yanga atatoka na mtaji wa Goli 2-3 , Kombe anabeba mchana kweupe ., Mechi ya Algeria ,Yanga ataenda kukamilisha ratiba.

Unajua hii mechi ilikuwa icheze saa 1:00 usiku ?

Sasa Yanga walishaanza mipango mapema kabisa , ilikuwa hivi Yanga alijua akipita vs River united atakutana na Pyramid .Alipotoka Nigeria akiwa na mtaji wa Goli 2 , akajua mpinzani anayekuja atakuwa pyramid, Mipango ikawa Pyramid anapigwaje kwa mkapa?

Hivo Umeme kukata mechi ya Rivers pale makapa stadium ilikuwa Ni mipango ili mechi na Pyramid ,Yanga wawe na hoja mechi ichezwe saa 10:00 jioni, Kuna watu hawaelewi kuwa hata Mamelod alimtandika NATIONAL ALHLY Goli 5 ,alichezeshwa mida ya jua, Hata Wydad alichezeshwa mida ya jua ,matokeo yakaisha 2-2 kwa uzembe wao Mamelod .

Baada ya mechi na River united bahati mbaya akapita Marumo , Lakini advantage ya ule mpango haikufa,hivo inakuja kutumika mechi na USM ALGER , Yanga waliwasilisha ombi Hilo mapema wakiweka sababu Kuna matatizo ya umeme, tayari CAF wamewaruhusu Yanga wacheze mechi saa 10:00 jion

Kwa Quality ya Yanga plus Refa kutoka Congo, na Jua la saa 10:00 jion

Yanga ana advantage ya kupata Goli 2-3

Mechi ya Algeria ,Itachezwa saa 1:00 usiku

HIYO NDIO MIPANGO YA KUCHUKUA KOMBE LOLOTE AFRICA HII

BILA MIPANGO MWISHO NI ROBO FAINAL TU
Kweli yanga akili kubwa. Mechi wameimaliza mapemaaa: 1-2. Algeria wanaenda tu kuchukua kombe.
 
Back
Top Bottom