Yanga imekata moto, Ijiandae kwa vipigo

Yanga imekata moto, Ijiandae kwa vipigo

utopolo og

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
575
Reaction score
1,575
Huu ndo ukweli ulio wazi. Ile circle ya mafanikio kwa Wananchi inaenda kutamatika msimu huu.

Timu haina mbinu mbadala, ukizuia zile pass mpenyezo basi hawawezi kupata bao.

Msimu huu tujiandae tu kwa vilio maana hata huko Klabu bingwa sidhani kama tutatoboa huko kwenye makundi...

Nipo tayari kuitwa mbumbumbu/kolo
 
Huu ndo ukweli ulio wazi. Ile circle ya mafanikio kwa Wananchi inaenda kutamatika msimu huu.

Timu haina mbinu mbadala, ukizuia zile pass mpenyezo basi hawawezi kupata bao.

Msimu huu tujiandae tu kwa vilio maana hata huko Klabu bingwa sidhani kama tutatoboa huko kwenye makundi...

Nipo tayari kuitwa mbumbumbu/kolo
Peleka timu Yako tuione iki I challenge Yanga.
Maana kama wamekata moto na Bado Wana shinda Sasa wakiwa na moto sijui itakuaje.
 
Ndio maana tuliitwa akili mbili. Timu ipo kwenye decline ila popoma kama wewe unaona mambo yako sawa?
Unataka kila siku timu ishinde goli nyingi kwani wenzake anaocheza nao wamesimama, wanakula mishahara wale lazima wapambane.

Timu zote alizo cheza nazo Yanga zinapaki bus. Msikalili mpira kila siku sio Jumapili KMC nao wanalipwa mishahara kama Yanga.

Barca kazipiga timu goli zaidi ya tatu mechi za mwanzo jana kala nne, Madrid mechi tatu za mwanzo mbili kadroo moja kashinda tatu moja ila kwa minded dk za jioni. Ndio mpira haiwezekani kila siku ushinde tano tano,hiyo itakuwa ligi au upuuzi.
 
Unataka kila siku timu ishinde goli nyingi kwani wenzake anaocheza nao wamesimama, wanakula mishahara wale lazima wapambane.

Timu zote alizo cheza nazo Yanga zinapaki bus. Msikalili mpira kila siku sio Jumapili KMC nao wanalipwa mishahara kama Yanga.
Sizungumzii matokeo, Performance wise timu yetu ime drop kwenye mechi za hivi karibuni, na iyo ni ishara tunaelekea kusikofaa.. Time will tell
 
Sizungumzii matokeo, Performance wise timu yetu ime drop kwenye mechi za hivi karibuni, na iyo ni ishara tunaelekea kusikofaa.. Time will tell
Performance imepungua eneo gani? Mimi naiona timu ipo vizuri, ni eneo dogo sana la ushambuliaji basi, ila kudominate timu inadominate nafasi inatengeneza nyingi, issue ni kuzitumia.

Lkn sioni ubovu kabisa sababu nao wachezaji wanacheza kitimu, huu mpira sio kila siku ni jpili.Mfano mechi mbili za kwanza ni umahili wa makipa wa wapinzani,huwezi kuwalaumu sana washambuliaji sababu hata kipa alifanya kazi yake vizuri.

Barca kashinda goli zaidi ya tatu mechi za mwanzo alizo cheza jana kala nne, Madrid mechi tatu za mwanzo mbili kadroo moja kashinda tatu moja ila kwa mbinde dk za jioni. Ndio mpira haiwezekani kila siku ushinde tano tano,hiyo itakuwa si ligi bali upuuzi.

Yanga ya Nabi iliyo chukua ubingwa mara mbili mfululizo, mechi ilizoshinda goli zaidi ya tatu zilikiwa mechi chache sana,ila timu ikachukua ubingwa na misimu yote miwili Yanga ya Nabi iliyo chukua ubingwa ilizidiwa magoli. Ila ndio mshasahau,mtaanza kupressurize kocha.
 
Performance imepungua eneo gani? Mimi naiona timu ipo vizuri, ni eneo dogo sana la ushambuliaji basi, ila kudominate timu inadominate nafasi inatengeneza nyingi, issue ni kuzitumia.

Lkn sioni ubovu kabisa sababu nao wachezaji wanacheza kitimu, huu mpira sio kila siku ni jpili.Mfano mechi mbili za kwanza ni umahili wa makipa wa wapinzani,huwezi kuwalaumu sana washambuliaji sababu hata kipa alifanya kazi yake vizuri.

Barca kazipiga goli zaidi ya tatu mechi za mwanzo jana kala nne, Madrid mechi tatu za mwanzo mbili kadroo moja kashinda tatu moja ila kwa mbinde dk za jioni. Ndio mpira haiwezekani kila siku ushinde tano tano,hiyo itakuwa si ligi bali upuuzi.
Mwambie mleta mada aelewe, yani alitaka kila siku Yanga ampige mtu Hamsa Hamsa.
 
Huu uchambazi wa kuvizia tunapopata matokeo madogo ndo mnajitokeza unashangaza sana.

Tulishinda 6 na Vitalo hamkuongea, tukashinda 6 na CBE hamkuongea. Leo goli moja inakuwa tatizo.

Mnacheza dhidi ya timu ambayo msimu uliopita mliipiga goli 5, timu ambayo imeanza ligi vibaya. Unafikiri watakuja na approach ileile ili muwapige tena goli nyingi?
 
Peleka timu Yako tuione iki I challenge Yanga.
Maana kama wamekata moto na Bado Wana shinda Sasa wakiwa na moto sijui itakuaje.
unadaiwa goli 6 usijisahaulishe. Na ukishindwa ku close gap ukaachwa na point mapema tu ubingwa unautema.
 
FB_IMG_17273508565838855~2.jpg
 
Performance imepungua eneo gani? Mimi naiona timu ipo vizuri, ni eneo dogo sana la ushambuliaji basi, ila kudominate timu inadominate nafasi inatengeneza nyingi, issue ni kuzitumia.

Lkn sioni ubovu kabisa sababu nao wachezaji wanacheza kitimu, huu mpira sio kila siku ni jpili.Mfano mechi mbili za kwanza ni umahili wa makipa wa wapinzani,huwezi kuwalaumu sana washambuliaji sababu hata kipa alifanya kazi yake vizuri.

Barca kashinda goli zaidi ya tatu mechi za mwanzo alizo cheza jana kala nne, Madrid mechi tatu za mwanzo mbili kadroo moja kashinda tatu moja ila kwa mbinde dk za jioni. Ndio mpira haiwezekani kila siku ushinde tano tano,hiyo itakuwa si ligi bali upuuzi.

Yanga ya Nabi iliyo chukua ubingwa mara mbili mfululizo, mechi ilizoshinda goli zaidi ya tatu zilikiwa mechi chache sana,ila timu ikachukua ubingwa na misimu yote miwili Yanga ya Nabi iliyo chukua ubingwa ilizidiwa magoli. Ila ndio mshasahau,mtaanza kupressurize kocha.
Baada ya maelezo hayo ungemchapa kofi huyo mleta uzi.

Wao wanachotaka au kipimo chao cha timu kua bora ni kufunga goli 5 5 tu..

Sijui wanazichukuliaje timu za ligi kuu.
Hawa ndio wale wanaangalia mechi kubwakubwa tu hivyo hizi timu nyingine hata hawazijui mpaka ikutane na simba au yanga.
 
Performance imepungua eneo gani? Mimi naiona timu ipo vizuri, ni eneo dogo sana la ushambuliaji basi, ila kudominate timu inadominate nafasi inatengeneza nyingi, issue ni kuzitumia.

Lkn sioni ubovu kabisa sababu nao wachezaji wanacheza kitimu, huu mpira sio kila siku ni jpili.Mfano mechi mbili za kwanza ni umahili wa makipa wa wapinzani,huwezi kuwalaumu sana washambuliaji sababu hata kipa alifanya kazi yake vizuri.

Barca kashinda goli zaidi ya tatu mechi za mwanzo alizo cheza jana kala nne, Madrid mechi tatu za mwanzo mbili kadroo moja kashinda tatu moja ila kwa mbinde dk za jioni. Ndio mpira haiwezekani kila siku ushinde tano tano,hiyo itakuwa si ligi bali upuuzi.

Yanga ya Nabi iliyo chukua ubingwa mara mbili mfululizo, mechi ilizoshinda goli zaidi ya tatu zilikiwa mechi chache sana,ila timu ikachukua ubingwa na misimu yote miwili Yanga ya Nabi iliyo chukua ubingwa ilizidiwa magoli. Ila ndio mshasahau,mtaanza kupressurize kocha.
Dooh kwahiyo timu nyingine zikiambulia goli moja au mawili ni mbovu, ila yanga ikiambulia hivyo hakuna shida ndio mpira huo, kumbe taratibu mnaanza kuelewa kuwa ubora wa timu siyo kufunga goli nyingi tu
 
Dooh kwahiyo timu nyingine zikiambulia goli moja au mawili ni mbovu, ila yanga ikiambulia hivyo hakuna shida ndio mpira huo, kumbe taratibu mnaanza kuelewa kuwa ubora wa timu siyo kufunga goli nyingi tu
Dada yangu wewe mweupe sana kwenye mpira sina cha kukujibu na sina mpango wa kureply comments zako nilisha kuambiaga.

Nauelewa mpira kuliko kitu chochote kile,miaka zaidi ya ishirini na fuatilia ligi zaidi ya nne, so hauna cha kuniambia kwenye mpira.Mimi sio oya oya.
 
Back
Top Bottom