Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Simba inamtegemea Mo una hakika?Eti mashabiki wa simba wanatoa pole! Tayari wamesha sahau ni miaka michache tu walikuwa katika hali kama wanayopitia Yanga.
Sisi tulimtegemea Manji na ninyi mnamtegemea Mo! Akitoka leo hii huyo Mo wenu kwenye timu, na ninyi mtarudi kule kule! Jambo la msingi ni kuhakikisha timu zetu zinabadili mifumo yao ya kiuendashaji. Zianze kujiendesha sasa kisasa na kama taasisi! badala ya kumtegemea mtu mmoja.
Simba mmeanza na Yanga tutafuata. Huu ni wakati wa mpito tu kama mliopitia nyinyi miaka michache iliyopita kiasi cha kuifanya Yanga kuchukua ubingwa wa ligi kuu kwa mara tatu mfululizo.
Hujui kwamba Mo ni muwekezaji na Manji alikuwa mwenyekigoda?