Yanga Imekuwa Gumzo Afrika

Yanga Imekuwa Gumzo Afrika

King Jody

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2022
Posts
1,834
Reaction score
3,456

Klabu Ya Yanga SC imeendelea kuzungumza kwa namna tofauti katika ushiriki wake wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika. Hii inatokea kwa sababu ya ushindani wake ambao wameuonyesha katika misimu miwili iliyopita.

Kesho ndiyo siku ya makundi kufahamu Yanga atapangwa na nani katika hatua ya makundi klabu bingwa Afrika msimu wa 2024/2025
 
Back
Top Bottom