Yanga imemfukuza Mwinyi Zahera, imekuwa mbovu kuliko ya Zahera

Yanga imemfukuza Mwinyi Zahera, imekuwa mbovu kuliko ya Zahera

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Papaa Zahera aliendesha timu bila mishahara

Timu iliyojaa wachezaji wa kiwango cha chini kuliko hii ya leo ila timu ilikuwa na morali na matokeo ilikuwa inapata

Na hata timu tajiri kama azam na simba zilipata shida sana kucheza na yanga ya Zahera

Mkwassa na Msolla wakampiga majungu akafukuzwa..

Leo yanga na tajiri GSM analipa mishahara inakula 4 kama imesimama.. hadi timu ndogo ndogo haziigopi yanga tena.
 
Zahera alijua utopolo hawezi kushindana na Simba ndio maana alikuwa anapaki bus ila hawa wanajifanya wana kikosi kinachoweza kupambana na Simba hayo ndio madhara yake
 
Kilichowaponza Yanga ndo kilichowaponza Azam....ile kauli ya kusema ubingwa wa Simba ni wakubebwa..ndo mana mnyama kaamua kuwakazia msiende kimataifa Sikh nyingine punguzeni kuchonga ngenga...Azam walisingizia AC...ngoma tusubiri ya Nugaz kesho
 
Hawa ni walewale tu, hamna kilichobadilika.
 
Back
Top Bottom