Yanga imeng'olewa klabu bingwa barani Afrika, imetoka suluhu ya bila kufungana Zambia

Hivi Kocha wenu Lwandamina na ule Mdomo wake mkubwa akiwa amelala huwa anaufunga na Kamba ili usimsumbue usiku au?
Huyu naona kaja kutuharibia timu tu

Yanga ya HANS sio sawa na ya huyu jamaa aisee

Yanga ya sasa ni mbovu sana na mechi nyingi tunashinda kwa kubahatisha
 
Wataendelea kupanda ndege kupitia kombe LA shirikisho.....Yanga ndio timu bora Africa Mashariki angalia ranks za CAF...nyambafu

Na rekodi hizo hizo za CAF zikuambia kuwa Simba SC kwa Vilabu bora Afrika ni ya 54 huku Azam FC ikiwa ni ya 61 na mpaka sasa naitafuta Yanga FC katika 100 bora siioni ila nadhani katika 113 au 117 sitaikosa hapo.
 
Wataendelea kupanda ndege kupitia kombe LA shirikisho.....Yanga ndio timu bora Africa Mashariki angalia ranks za CAF...nyambafu
Hata Bashite anapanda ndege lakini ni fafafafafafa
 
Huyu naona kaja kutuharibia timu tu

Yanga ya HANS sio sawa na ya huyu jamaa aisee

Yanga ya sasa ni mbovu sana na mechi nyingi tunashinda kwa kubahatisha

Leo Yanga mlishindwa kuwapulizia Wenyeji Zanaco FC ile dawa yenu huku bongo huwa tunaiita 4-4-2 ili muwanyong'onyeshe na muwafunge magoli 8 au 6 au 5 kama Kiluvya United, Coastal Union na Ruvu Shooting?
 
Kwa jinsi ninavyokujua ulivyo Mrembo halafu unashabiki Timu za hovyo hovyo kuanzia Tanzania Yanga FC hadi Ulaya Arsenal FC nakuona na Wewe ni bonge la Libashite.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kila mtu ana 'angle' yake ya udhaifu...mimi udhaifu wangu ndio huu.
Ila kuniita Bashite umenikosea sana [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Phuck Yanga,Phuck Arsenal leo ni Lissu tu.

Asante Lissu,lasivyo leo ningekuwa na msiba wa club hizo zangu vipenzi kutoa boko.
Pole mpenzi kwa uo upande wa jangwani una maumivu mawili me moja tu na furaha ya Tundu tu...ivi lov hatuwezi kumtumia uyu Tundu kwa mzee wetu uyu wenger? mfungulie kesi tu ata ya kutusababishia msongo wa mawazo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kila mtu ana 'angle' yake ya udhaifu...mimi udhaifu wangu ndio huu.
Ila kuniita Bashite umenikosea sana [emoji16] [emoji16] [emoji16]

Samahani Dada kwa kukuita Libashite. Halafu Dear wako Booooolidi mbona ameadimika sana humu siku hizi? au kaenda kupeleka Mahari?
 
Yanga wamepiga mpira mkubwa sana.Lady luck was not on their side
 
Yanga wamepiga mpira mkubwa sana.Lady luck was not on their side

Hata Mwanamke ukiwa unambandua kila mara lakini humjazi Mimba na unaishia tu kugongesha besela utaonekana ni bashite kolomije tu.
 
Phuck Yanga,Phuck Arsenal leo ni Lissu tu.

Asante Lissu,lasivyo leo ningekuwa na msiba wa club hizo zangu vipenzi kutoa boko.
Ila hapo pengine unayataka mwenyewe dada /shemeji yangu kipenzi siku nyingi nilitoa ushauri bado hutaki kunipa nafasi ya kukushauri.
 
Tatizo la mashabiki wa mpira wa Tanzania ni mambumbumbu sana haswa wa Yanga.....yaani wao wanafikiria mpira ni magazetini na majigambo ya redioni na mitaani. Kila mwaka utawasikia Yanga ya kimataifa, subiri sasa wapande ndege kwenda kucheza hizo mechi za kitaifa, yaani kilio tupu. Toka tupate uhuru kuna nini la maana kwa kimataifa ambalo Yanga wamelifanya? Mashabiki wa Yanga lazima mtambue hii kitu, jiulizeni. Yanga hata aje kocha gani pale, you will never go anywhere zaidi ya kubebeshwa makapu ya magoli na kujipachika haibu. Wenzenu Simba ilifika fainali CAF 1993, nyinyi je? Mashabiki wa Yanga sawa na Misukule ya Gwajima, inafuata tu kila wanacho ambiwa ila inashindwa kufikiri.
 
Waandishi wetu BASHITE


Ni kwa sababu waandishi wengi hapa Bongo ni wapenzi wa Yanga na hawana akili ya kufikiri ndiyo maana wanatumia kuandika utumbo kutegemea Yanga itafanya maajabu. Toka lini mpira ukachezwa magazetni au redioni? Yanga ni Msukule wa Gwajima pamoja na mashabiki wao. Kesho tu utaona mashabiki wao wanaandika porojo kumuomba radhi Mungu wao (Mze Akilimali) aje kuwa kocha mkuu na mtawala wa kamati ya ufundi na matunguli. Yanga bwana, shida kweli kweli.
 
Wataendelea kupanda ndege kupitia kombe LA shirikisho.....Yanga ndio timu bora Africa Mashariki angalia ranks za CAF...nyambafu


Ndilo tatizo la Yanga na mashabiki wao....yaani wewe unaona bora upande ndege na kuwa msindikizaji mwaka nenda mwaka rudi? Mbona hasara jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…