Iyo rekodi ya simba ni zaidi ya miaka 10 iliyopita, kwa sasa Yanga iangalie katika vilabu 20 bora vya afrika. Izo namba 54 na kuendelea hazina mahusiano na Yanga.
Kwa rekodi za hivikaribuni si dhani kama simba ipo ata namba 80 katika vilabu vya Afrika. kwakuwa wanamiaka mingi hawapo kwenye mashindano yoyote ya Afrika.
Na kwenye shirikisho ndio balaa. Wakikutana na timu kama swallows watapigwa kumi. Yanga huwa nasema haipatagi ubingwa kihalali. Timu kweli inayoshinda zaidi ya goli 4 kwa kila mechi inashindwaje kupiga mtu 10 nje ya Tanzania?