Iyo rekodi ya simba ni zaidi ya miaka 10 iliyopita, kwa sasa Yanga iangalie katika vilabu 20 bora vya afrika. Izo namba 54 na kuendelea hazina mahusiano na Yanga.
Kwa rekodi za hivikaribuni si dhani kama simba ipo ata namba 80 katika vilabu vya Afrika. kwakuwa wanamiaka mingi hawapo kwenye mashindano yoyote ya Afrika.
Kwa rekodi za hivikaribuni si dhani kama simba ipo ata namba 80 katika vilabu vya Afrika. kwakuwa wanamiaka mingi hawapo kwenye mashindano yoyote ya Afrika.