Yanga imenisababishia Hasara, nimepoteza Mil 5 baada ya Ushindi wao

Yanga imenisababishia Hasara, nimepoteza Mil 5 baada ya Ushindi wao

washabiki wa mipira hua ni watu wajinga wajinga tu. Huwezi kukuta mtu smart anashabikia mamipira. Kuna wengine eti wanakufa kwa mshtuko kisa timu fulani imefungwa, stupid hilo liteam hata hawakujui, hawakutambui wakishinda wakishindwa inakuongezea nini, very stupid.
We dada ni mpuuzi sana

Tena sanaaaa
 
Siku nyingine usikaze fuvu wenzio tunamkanda kanji Kila yanga inapocheza ahaaaaaaaa🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20230604-001747.jpg
    Screenshot_20230604-001747.jpg
    83.3 KB · Views: 1
Lengo la Uzi huu si sana kujutia kupoteza hela, bali ni kuuweka kama funzo kwa wadau wengine kwamba, iko siku hata saa mbovu inaweza kuonyesha muda sahihi.

Kiukweli kwa mara ya kwanza niliganda ubongo, maana sikudhani hata chembe kama Yanga anaweza kuambulia hata sare huko Algeria, achilia mbali kushinda, kujiamini kwangu kulifanya niropoke kwa rafiki yangu wa Chanika ambaye nilimuahidi kumalizia nyumba yake ikiwa Yanga itapata goli Ugenini au hata ikitoka sare, sasa baada ya kuwekeana kamali hii nilimwambia anipe gharama ambayo napaswa kujiandaa nayo ikiwa maajabu hayo yatatokea , nikaambiwa ni 5mil.

Pamoja na ukweli kwamba sikuamini kama yanga yaweza kutoboa, sasa napaswa kulipa gharama hiyo Jumatatu kabla ya saa 6 mchana.

Natoa wito kwa wadau wote kwamba, kabla ya kuahidi jambo muwe makini kuangalia alama za nyakati.

Nalipa lakini siipendi Yanga
Pole sana. Siku nyingine ukumbuke Yanga siyo kama simba ambayo ikienda katika ardhi ya mwarabu, basi uwezekano wa kupokea kipigo kitakatifu (khamsa khamsa) ni 99.999%.

Yanga inaweza kumfunga hata Man City kwenye uwanja wake wa Ettihad.
 
Lengo la Uzi huu si sana kujutia kupoteza hela, bali ni kuuweka kama funzo kwa wadau wengine kwamba, iko siku hata saa mbovu inaweza kuonyesha muda sahihi.

Kiukweli kwa mara ya kwanza niliganda ubongo, maana sikudhani hata chembe kama Yanga anaweza kuambulia hata sare huko Algeria, achilia mbali kushinda, kujiamini kwangu kulifanya niropoke kwa rafiki yangu wa Chanika ambaye nilimuahidi kumalizia nyumba yake ikiwa Yanga itapata goli Ugenini au hata ikitoka sare, sasa baada ya kuwekeana kamali hii nilimwambia anipe gharama ambayo napaswa kujiandaa nayo ikiwa maajabu hayo yatatokea , nikaambiwa ni 5mil.

Pamoja na ukweli kwamba sikuamini kama yanga yaweza kutoboa, sasa napaswa kulipa gharama hiyo Jumatatu kabla ya saa 6 mchana.

Natoa wito kwa wadau wote kwamba, kabla ya kuahidi jambo muwe makini kuangalia alama za nyakati.

Nalipa lakini siipendi Yanga
Mechi ilifunikwa na uchawi asilimia 100 hata sikujisumbua kuweka mkeka niliwaangalia tu wajuba walivyoingia mtegoni.
 
washabiki wa mipira hua ni watu wajinga wajinga tu. Huwezi kukuta mtu smart anashabikia mamipira. Kuna wengine eti wanakufa kwa mshtuko kisa timu fulani imefungwa, stupid hilo liteam hata hawakujui, hawakutambui wakishinda wakishindwa inakuongezea nini, very stupid.
Na wewe mwenzetu huwa unashabikia kitu gani katika maisha yako, ili tutathmini pia kipimo chako cha ujinga?

NB:- Kama hushabikii mchezo wowote ule hapa duniani (yaani hata mchezo tu wa kukimbiza kuku, kuruka na magunia, nk), basi utakuwa ni zaidi ya bumunda/bongotore.
 
In
Lengo la Uzi huu si sana kujutia kupoteza hela, bali ni kuuweka kama funzo kwa wadau wengine kwamba, iko siku hata saa mbovu inaweza kuonyesha muda sahihi.

Kiukweli kwa mara ya kwanza niliganda ubongo, maana sikudhani hata chembe kama Yanga anaweza kuambulia hata sare huko Algeria, achilia mbali kushinda, kujiamini kwangu kulifanya niropoke kwa rafiki yangu wa Chanika ambaye nilimuahidi kumalizia nyumba yake ikiwa Yanga itapata goli Ugenini au hata ikitoka sare, sasa baada ya kuwekeana kamali hii nilimwambia anipe gharama ambayo napaswa kujiandaa nayo ikiwa maajabu hayo yatatokea , nikaambiwa ni 5mil.

Pamoja na ukweli kwamba sikuamini kama yanga yaweza kutoboa, sasa napaswa kulipa gharama hiyo Jumatatu kabla ya saa 6 mchana.

Natoa wito kwa wadau wote kwamba, kabla ya kuahidi jambo muwe makini kuangalia alama za nyakati.

Nalipa lakini siipendi Yanga
Inabidi kuanzia sasa usipende Yanga😂🤔
 
washabiki wa mipira hua ni watu wajinga wajinga tu. Huwezi kukuta mtu smart anashabikia mamipira. Kuna wengine eti wanakufa kwa mshtuko kisa timu fulani imefungwa, stupid hilo liteam hata hawakujui, hawakutambui wakishinda wakishindwa inakuongezea nini, very stupid.
Matatizo yako na mumeo usiyalete huku dada,mnunulie mumeo king'amuzi awe anaangalia nyumban kama unaona tabu anavyochelewa
 
Back
Top Bottom