monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
We dada ni mpuuzi sanawashabiki wa mipira hua ni watu wajinga wajinga tu. Huwezi kukuta mtu smart anashabikia mamipira. Kuna wengine eti wanakufa kwa mshtuko kisa timu fulani imefungwa, stupid hilo liteam hata hawakujui, hawakutambui wakishinda wakishindwa inakuongezea nini, very stupid.
Kaungane na akina Mzee Yusufu taarabu ndio kipaji chenu.Hata mimi nilikuwa naamini eti kipofu haoni kabisa, nilitakiwa kujua kuwa anaona giza...
Pole sana. Siku nyingine ukumbuke Yanga siyo kama simba ambayo ikienda katika ardhi ya mwarabu, basi uwezekano wa kupokea kipigo kitakatifu (khamsa khamsa) ni 99.999%.Lengo la Uzi huu si sana kujutia kupoteza hela, bali ni kuuweka kama funzo kwa wadau wengine kwamba, iko siku hata saa mbovu inaweza kuonyesha muda sahihi.
Kiukweli kwa mara ya kwanza niliganda ubongo, maana sikudhani hata chembe kama Yanga anaweza kuambulia hata sare huko Algeria, achilia mbali kushinda, kujiamini kwangu kulifanya niropoke kwa rafiki yangu wa Chanika ambaye nilimuahidi kumalizia nyumba yake ikiwa Yanga itapata goli Ugenini au hata ikitoka sare, sasa baada ya kuwekeana kamali hii nilimwambia anipe gharama ambayo napaswa kujiandaa nayo ikiwa maajabu hayo yatatokea , nikaambiwa ni 5mil.
Pamoja na ukweli kwamba sikuamini kama yanga yaweza kutoboa, sasa napaswa kulipa gharama hiyo Jumatatu kabla ya saa 6 mchana.
Natoa wito kwa wadau wote kwamba, kabla ya kuahidi jambo muwe makini kuangalia alama za nyakati.
Nalipa lakini siipendi Yanga
Mechi ilifunikwa na uchawi asilimia 100 hata sikujisumbua kuweka mkeka niliwaangalia tu wajuba walivyoingia mtegoni.Lengo la Uzi huu si sana kujutia kupoteza hela, bali ni kuuweka kama funzo kwa wadau wengine kwamba, iko siku hata saa mbovu inaweza kuonyesha muda sahihi.
Kiukweli kwa mara ya kwanza niliganda ubongo, maana sikudhani hata chembe kama Yanga anaweza kuambulia hata sare huko Algeria, achilia mbali kushinda, kujiamini kwangu kulifanya niropoke kwa rafiki yangu wa Chanika ambaye nilimuahidi kumalizia nyumba yake ikiwa Yanga itapata goli Ugenini au hata ikitoka sare, sasa baada ya kuwekeana kamali hii nilimwambia anipe gharama ambayo napaswa kujiandaa nayo ikiwa maajabu hayo yatatokea , nikaambiwa ni 5mil.
Pamoja na ukweli kwamba sikuamini kama yanga yaweza kutoboa, sasa napaswa kulipa gharama hiyo Jumatatu kabla ya saa 6 mchana.
Natoa wito kwa wadau wote kwamba, kabla ya kuahidi jambo muwe makini kuangalia alama za nyakati.
Nalipa lakini siipendi Yanga
Na wewe mwenzetu huwa unashabikia kitu gani katika maisha yako, ili tutathmini pia kipimo chako cha ujinga?washabiki wa mipira hua ni watu wajinga wajinga tu. Huwezi kukuta mtu smart anashabikia mamipira. Kuna wengine eti wanakufa kwa mshtuko kisa timu fulani imefungwa, stupid hilo liteam hata hawakujui, hawakutambui wakishinda wakishindwa inakuongezea nini, very stupid.
Inabidi kuanzia sasa usipende Yanga😂🤔Lengo la Uzi huu si sana kujutia kupoteza hela, bali ni kuuweka kama funzo kwa wadau wengine kwamba, iko siku hata saa mbovu inaweza kuonyesha muda sahihi.
Kiukweli kwa mara ya kwanza niliganda ubongo, maana sikudhani hata chembe kama Yanga anaweza kuambulia hata sare huko Algeria, achilia mbali kushinda, kujiamini kwangu kulifanya niropoke kwa rafiki yangu wa Chanika ambaye nilimuahidi kumalizia nyumba yake ikiwa Yanga itapata goli Ugenini au hata ikitoka sare, sasa baada ya kuwekeana kamali hii nilimwambia anipe gharama ambayo napaswa kujiandaa nayo ikiwa maajabu hayo yatatokea , nikaambiwa ni 5mil.
Pamoja na ukweli kwamba sikuamini kama yanga yaweza kutoboa, sasa napaswa kulipa gharama hiyo Jumatatu kabla ya saa 6 mchana.
Natoa wito kwa wadau wote kwamba, kabla ya kuahidi jambo muwe makini kuangalia alama za nyakati.
Nalipa lakini siipendi Yanga
Ila Yanga FC akikosa hayo hayo magoli hawajui?Waarabu hawa leo hawakua na bahati, wamekosa goal 3 za wazii. Hadi Penalty kweliiiii???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asiwapangie Watu kipi cha kuwaondolea life stress [emoji1666][emoji4]Usiingilie mahaba ya watu....[emoji1787]
Matatizo yako na mumeo usiyalete huku dada,mnunulie mumeo king'amuzi awe anaangalia nyumban kama unaona tabu anavyochelewawashabiki wa mipira hua ni watu wajinga wajinga tu. Huwezi kukuta mtu smart anashabikia mamipira. Kuna wengine eti wanakufa kwa mshtuko kisa timu fulani imefungwa, stupid hilo liteam hata hawakujui, hawakutambui wakishinda wakishindwa inakuongezea nini, very stupid.