Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
... Makosa yalianza baada ya preseason. Wachezaji waliishiwa pumzi ghafla wakwa wanashinda kwa kubahatisha bahatisha tu -kagoli kamoja kamoja, na wawalipoanza kufungwa ndipo michezo ya CAF ikaana wangali taaban na kuishia kupoteza michezo miwili ambayo ndiyo imewagharim.
Makosa hayo ya mwanzo ndiyo yamewatoa kwenye CAF CL na ndiyo yanayoweza kuwakosesha ubingwa mwaka huu.
Sasa hivi nimfokasi kwenye mambo mengine, siyo mpira tena.
Makosa hayo ya mwanzo ndiyo yamewatoa kwenye CAF CL na ndiyo yanayoweza kuwakosesha ubingwa mwaka huu.
Sasa hivi nimfokasi kwenye mambo mengine, siyo mpira tena.